Yahaya:nyimbo mpya ya jide full vijembe

Yahaya:nyimbo mpya ya jide full vijembe

Mkoroshokigori,nimekupenda bureeeeee,thnx kwa marekebisho,wengine hatujasoma kayumba,yaani ndo naona hasara za english medium...
 
The songwriting is horrible. Especially for such a potent and generous subject under her current underdog position.

Jide has never been, and probably will never be an impressive singer songwriter.

Ashukuru Clouds walivyompandisha charts kwa nguvu. This is a fact, not to be confused to mean that I am a Clouds fanboy. I am not. They are deplorable scum.

Abaki kuimba choruses za bongoflava tu.

Au ajiunge na kwaya ya kanisa, uimbaji wake ndo unafaa huko.

But of course kama anaweza ku hustle kujiuza kama muimbaji kwa Watanzania gullible,all the best.

Wabongo "wamemchagua" Kikwete after all. So it's not like they are bent on merit.
 
Yahaya (muhaya) aka ruge

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kiranga,kwani unataka,nini??,kwa hiyo kama she does know ku write songs unasemaje???,please usitake kuaribu moods za watu,u better stay silent if u dont know what u are writing
 
kiranga,kwani unataka,nini??,kwa hiyo kama she does know ku write songs unasemaje???,please usitake kuaribu moods za watu,u better stay silent if u dont know what u are writing

Nataka kusema kwamba Jide is not a songstress. She is more of a hustler.The only reason she strived is because she was shoved down by Clouds.

Kuharibu moods hata wewe unaharibu moods za watu kwa hiyo kama hilo ni muhimu kwako anza wewe kuacha kuandika.

Nimeandika nilichoandika.Nenda kajifunze spelling ujue kuandika kwanza.
 
Ila nahisi siyo vizuri kuandika mistari ya nyimbo ambayo bado haijatoka.,ungesubiria kwanza mpk atoe albam,ni mtizamo wangu tu.by the way namtakia kila kheri anaconda president
 
Wew kiranga nyie ndo akina yahaya,mnajifanya mnajua kila kitu,samahani lakini...
 
Wew kiranga nyie ndo akina yahaya,mnajifanya mnajua kila kitu,samahani lakini...

Na wewe unajifanya hujui kila kitu.

Mimi sipo mjini na wala sikutani na watu baki socially. Nitakuwaje Yahaya?

Wabongo mtaacha lini ku gobble every bs na kuwa pawns in some hustlers game?
 
Kiramga unataka kick na wewe ili uonekane????,please this is not ur level
 
Kiramga unataka kick na wewe ili uonekane????,please this is not ur level

Nionekane wapi? Level yangu ni ipi? Wewe ni ottoman ombudsman gani mpaka uwe na ujuzi na wajibu na haki ya kuniambia level yangu ni wapi?
 
Nionekane wapi? Level yangu ni ipi? Wewe ni ottoman ombudsman gani mpaka uwe na ujuzi na wajibu na haki ya kuniambia level yangu ni wapi?

huyo ndo anatafuta kick.....,cant u see it Kiranga




Member Array


Join Date : 6th May 2013
Posts : 49
Rep Power : 314
Likes Received6
Likes Given0


[h=2][/h]
 
Last edited by a moderator:
Mkoroshokigori,nimekupenda bureeeeee,thnx kwa marekebisho,wengine hatujasoma kayumba,yaani ndo naona hasara za english medium...

warumi umenichekesha sana hapo kwenye color,yaani umesoma english medium unasema hasara,hahahahahaa,poa mdau
 
Last edited by a moderator:
Heaven on earth please fanya yako,haya yatakushinda,nadhani kwenye malumbano wewe haupo so its better to shut your ----ing big mouth and mind ur bussness
 
Namkubali sana jide! Wataweka matuta barabarani kumzuia njia! Lakini rizki itokayo kwa muumba huja kama roho, haikingwi, haipigiwi ramli, ikifika zamu yake atapokea tu!! Clouds waroge sana, wawange sana, hawamkuti ng'o!
 
Back
Top Bottom