Binti yangu amelog in katika computer yangu lakini cha ajabu kila nikifungua yahoo ku sign in nakuta mail address yake na password na niki sign in inakubali.
Mwanzoni nilikuwa nime create seal lakini siku za karibuni imekuwa haitokei.Je ndo nimeingia kwenye hiyo phishing au,naomba msaada.
Mwanzoni nilikuwa nime create seal lakini siku za karibuni imekuwa haitokei.Je ndo nimeingia kwenye hiyo phishing au,naomba msaada.