Yahudi na Palestina ndugu waliotengana muda mrefu nakusahauliana kulingana na mitazamo ifuatayo

Yahudi na Palestina ndugu waliotengana muda mrefu nakusahauliana kulingana na mitazamo ifuatayo

fungi06

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2020
Posts
738
Reaction score
1,017
Mkuu ukiangalia vizuri utagundua awa jamaa ni ndugu tu

Ona.

Wao wanaita Mungu el (wayahudi)

Wapalestina wanaita Mungu alha

Awa vita yao haitoisha kabisa mpaka Mungu arudi labda.

Maana ukicheki bible inasema watatangatanga, watachukuliwa utumwa, watapigana wao kwa wao. Mpaka wapate msamaha ule Mungu aliowaambia.

Ukiangalia wayahudi wenyewe mwanzo walizichapa mno, maana taifa lao liligawanyikaga kutokana na wale watoto 12 wa Jacob (baba wa taifa la israel), huyu ndo Alipewa agano na Mungu kwamba ataanzisha taifa.

Ukiwaangalia waarabu wa pale palestina na wayahudi kwa haraka hawatofautiani hata kidogo.
Ndo maana hii aiwezi kuitwa genocide.

Lakini ukiangalia utaona kwamba;
Wanapambania resources ambazo now zina run out kwa nguvu mno.

Wote wanataka pembezoni mwa bahari maana wapalestina walifanikiwa kugundua namna yakugeuza maji ya chumvi kwa matumizi ya nyumbani.

Ukiangalia wayahudi wao nao population inakua na pia wanataka sehemh yenye access ya maji kama bahari na mto Jordan.

Hata ugomvi huu mpya wa sasa umetokea baada ya wapalestina kuvamia sherehe ya wayahudi waliyokua wakiifanya, na ni juzi juzi mwenye sherehe inasemekana ni settles alimuua mtoto wa miaka 6 ila akaachiwa huru, hii ikapelekea chuki, kuzidi kukua.

Mji waliovamiwa juzi ni mpakani kabisa ambapo eneo kubwa linamilikiwa na settlers wakiyahudi.

Yani kwa chuki walizonazo waarabu na wayahudi nao wanayo, vile vile pia wanasupport kubwa kulingana na influence yao kwa mataifa ya magharibi juu ya uwezo wakutengeneza silaha nzito nzito. Na heavy tech machine.

Unaambiwa apo gaza siku za kawaida tuu kupata maji nj msala, ila settlers wakiyahudi wanaweza fungulia maji masafi shambani wiki nzima yasikatike.

Hawa ni ndugu sema wametenganishwa na lugha pamoja na mizozo yakifamilia kama tujuavyo mizozo ya familia inavyokuaga tena kwa ndugu wakuzaliwa pamoja hasa hasa.


Mwisho, hawa ni kama simba na fisi now porini, wanauwa watoto kwa ajili ya scarcity ya resources available, in order toprotect their future offspring

Mtazamo wangu kulingana na maelezo ya aljazeera
 
Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.

Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.

Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.

Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
 
Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.

Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.

Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.

Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
Ukiwaambia watu huu ukweli awaamini,,,lakini awa jamaa wanafahamika sana kwa kuuwana si unakumbuka walimuuwa adi Yesu na ni ndugu yao wa damu kabisa,,

Hii ni kama kalaana flani ivi..kinawamaliza wao kwa wao
 
Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.

Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.

Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.

Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
Acha kuudanganya.. nenda kayasome vizuri tena hayo matango pori Yako halafu uje hapa ikiwa umepata kitu sahihi.
 
Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.

Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.

Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.

Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
Siyo kweli.Ukweli ni kwamba wanaogombana hapo ni mapacha wa tumbo moja,yaani Esau na Israel(Yakobo).
 
Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.

Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.

Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.

Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
Hi sahihi kbsa ndio tujuavyo pia
 
Hao Hamas Na waisrael Ni vijukuu vya Ibrahim isaka na yakobo

Hii ndo athar za kuzaaa nje ya ndoa
 
Waisrael na wafilisti/ wapalestina hawana undugu wowote, maeneo ya Gaza, Ashdod ni kanda za kimapigano toka enzi za Samson.

This conflict will prevail forever.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Soma kwenye Biblia habari za maisha ya baba imani Ibrahim ndio chanzo cha haya yanayoendelea kati ya Israel na palestina
 
lini wapalestina wamekuwa ni watoto wa esau? Wale ni watoto wa ishmaeli
Kimaandiko jambo lipo wazi.

 
lini wapalestina wamekuwa ni watoto wa esau? Wale ni watoto wa ishmaeli
Hapana ni watoto wa ham, ukiangalia kwenye biblia baada ya adam na hawa kumzaa kaini na abel, abeli aliuwawa akuacha mtoto wala mke.

Ila kaini aliwekewa alama na Mungu kua ni muuwaji, ila alizaa watoto nao watoto pia mungu aliwaambia wakiuwa na wao basi watabeba mzigo mara 7 wa baba yao. Ukiangalia kaini alilaaniwagwa mno.

Mungu akampa adam na eva mtoto mwingine anaitwa seth uyu ndo our great great great great great grandfather maana huyu pekee ndo uzoa wake ulibakia duniani.

Kipindi kile dunia imepigwa dhoruba kali ya maji ambapo alie pona ni mjukuu wa seth anaitwa Noah na familia yake ambapo alikua na watoto wa3.

Ambapo ndo mwanzo wa dunia mpya ambayo tunaishi mpaka leo mimi na wewe ni ndugu ndugu sema tulitengana kwa tofauti ndogo ndogo kama vile magonjwa, uhalifu, mazingira, kwaio tungebakiaga wote bustanini tungekua tunapanuka exponential yani sijui naeleweka vile?
 
Hao Hamas Na waisrael Ni vijukuu vya Ibrahim isaka na yakobo

Hii ndo athar za kuzaaa nje ya ndoa
Wale jamaa wa agano la kale walikua wanawake wengi mno, na ndo maanguko yao wote ukiangalia.
1.mfalme solomon
Alimkosea mungu baada yakupenda mwanamke laki Egypt nakumsababishia Solomon kumjengea madhabau miungu ya mke wake hapo hapo Mungu akamwambia atamuadhibu mtoto wake Yeroboam

2, mfalme Solomon,na yeye alikuaga mtoto wa nje wa mfalme daudi
 
umeelewa au umelewa udini?
Aya masuala sio dini mimi naona ni unyanganyi wa ardhi tuu, sema wametumia opportunity ya kufanyiwa uvamizi uliofanywa na kikosi cha hamas ambacho nikama kilikua kinaiendesha gaza
 
Back
Top Bottom