Yahudi na Palestina ndugu waliotengana muda mrefu nakusahauliana kulingana na mitazamo ifuatayo

Yahudi na Palestina ndugu waliotengana muda mrefu nakusahauliana kulingana na mitazamo ifuatayo

NENDA KASOME UPYA HIYO SIMBI PORI ULILOMEZA. Wapalestina hawana uhusiano wowote na Ibrahimu. Wapalestina walikuwepo pale kanaani hata kabla ya Ibrahimu. wao ndo waliompokea Ibrahimu na aliishi kati kati yao. kwa amani kama mgeni wao. Ibrahimu ni mfuagji kama Mang'ati na maisha yake ni ya kuhamahama kufuata malisho. Ndo maana kuna kipindi alihamia Misri kufuata malisho.
 
NENDA KASOME UPYA HIYO SIMBI PORI ULILOMEZA. Wapalestina hawana uhusiano wowote na Ibrahimu. Wapalestina walikuwepo pale kanaani hata kabla ya Ibrahimu. wao ndo waliompokea Ibrahimu na aliishi kati kati yao. kwa amani kama mgeni wao. Ibrahimu ni mfuagji kama Mang'ati na maisha yake ni ya kuhamahama kufuata malisho. Ndo maana kuna kipindi alihamia Misri kufuata malisho.
Ww kweli kiazi,, sasa unamuongelea abraham kazaliwa juzi mm naongelea kwanzia enzi za akina nuhu mkuu acha kusomea njiti ya kiberiti
 
Settler's wanaitaji ardhi, wakulima wanaitaji ardhi, wavugaji wanaitaji ardhi,

Elon musk kaona isiwe shida acha akajichukulie mahectare kule Mars, na mtanunua ardhi mpaka Mars, yangu macho
 
Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.

Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.

Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.

Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
Uongo.Watoto wa Ismael ni wasaudia.Ibrahimu aliitwa na MUNGU toka Uru ya wakaldayo (Iraq) aende Palestine.Hapo hakuwa na mtoto hata mmoja.Si Ismael wala Is-haqa.Alipofika hapo aliwakuta wenyeji(wapalestina au wafilisti).
 
Uongo.Watoto wa Ismael ni wasaudia.Ibrahimu aliitwa na MUNGU toka Uru ya wakaldayo (Iraq) aende Palestine.Hapo hakuwa na mtoto hata mmoja.Si Ismael wala Is-haqa.Alipofika hapo aliwakuta wenyeji(wapalestina au wafilisti).
wapalestina/wafilisti ndiyo watoto wa nani?
 
Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.

Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.

Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.

Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
Kizazi Cha Esau kipi Kwa sasa
 
Wale jamaa wa agano la kale walikua wanawake wengi mno, na ndo maanguko yao wote ukiangalia.
1.mfalme solomon
Alimkosea mungu baada yakupenda mwanamke laki Egypt nakumsababishia Solomon kumjengea madhabau miungu ya mke wake hapo hapo Mungu akamwambia atamuadhibu mtoto wake Yeroboam

2, mfalme Solomon,na yeye alikuaga mtoto wa nje wa mfalme daudi
Nawakubali mno kuwa na wake wengi, maisha yalikuwa peace
 
Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.

Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.

Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.

Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
Sasa si ngozi ngumu tulitokea wapi?
 
NENDA KASOME UPYA HIYO SIMBI PORI ULILOMEZA. Wapalestina hawana uhusiano wowote na Ibrahimu. Wapalestina walikuwepo pale kanaani hata kabla ya Ibrahimu. wao ndo waliompokea Ibrahimu na aliishi kati kati yao. kwa amani kama mgeni wao. Ibrahimu ni mfuagji kama Mang'ati na maisha yake ni ya kuhamahama kufuata malisho. Ndo maana kuna kipindi alihamia Misri kufuata malisho.
Wafilisti Walizaliwa na Misri Mwana wa Hamu mtoto wa Nuhu.

Wana wa Ishmaeli Kutoka Ibrahim wanadai ni Saudia.
 
Back
Top Bottom