Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Ww kweli kiazi,, sasa unamuongelea abraham kazaliwa juzi mm naongelea kwanzia enzi za akina nuhu mkuu acha kusomea njiti ya kiberitiNENDA KASOME UPYA HIYO SIMBI PORI ULILOMEZA. Wapalestina hawana uhusiano wowote na Ibrahimu. Wapalestina walikuwepo pale kanaani hata kabla ya Ibrahimu. wao ndo waliompokea Ibrahimu na aliishi kati kati yao. kwa amani kama mgeni wao. Ibrahimu ni mfuagji kama Mang'ati na maisha yake ni ya kuhamahama kufuata malisho. Ndo maana kuna kipindi alihamia Misri kufuata malisho.
Uongo.Watoto wa Ismael ni wasaudia.Ibrahimu aliitwa na MUNGU toka Uru ya wakaldayo (Iraq) aende Palestine.Hapo hakuwa na mtoto hata mmoja.Si Ismael wala Is-haqa.Alipofika hapo aliwakuta wenyeji(wapalestina au wafilisti).Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.
Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.
Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.
Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
wapalestina/wafilisti ndiyo watoto wa nani?Uongo.Watoto wa Ismael ni wasaudia.Ibrahimu aliitwa na MUNGU toka Uru ya wakaldayo (Iraq) aende Palestine.Hapo hakuwa na mtoto hata mmoja.Si Ismael wala Is-haqa.Alipofika hapo aliwakuta wenyeji(wapalestina au wafilisti).
Kizazi Cha Esau kipi Kwa sasaIbrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.
Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.
Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.
Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
Nawakubali mno kuwa na wake wengi, maisha yalikuwa peaceWale jamaa wa agano la kale walikua wanawake wengi mno, na ndo maanguko yao wote ukiangalia.
1.mfalme solomon
Alimkosea mungu baada yakupenda mwanamke laki Egypt nakumsababishia Solomon kumjengea madhabau miungu ya mke wake hapo hapo Mungu akamwambia atamuadhibu mtoto wake Yeroboam
2, mfalme Solomon,na yeye alikuaga mtoto wa nje wa mfalme daudi
Edom ndo Kizazi Cha Esau.Maana Esau alitoa binti za Palestine.Kizazi Cha Esau kipi Kwa sasa
Kwa sasa Edom ndio Palestine? Wafilist-philistines ndio kina nani Kwa sasa?Edom ndo Kizazi Cha Esau.Maana Esau alitoa binti za Palestine.
Sasa si ngozi ngumu tulitokea wapi?Ibrahimu na mkewe sara walikuwa ni wazee na hawajapata mtoto. Sara akamshauri mume wake kama anataka mtoto yupo kijakazi wao Hajiri akajipatie huko. Ibrahimu na Hajiri wakapata mtoto akaitwa Ishmaeli.
Sara akaona mbona ni soo, huyu kijakazi atanidharau kwa kuwa sikuzaa mtoto, akamfukuza na mtoto aishilie huko jangwani.
Baadae Sara alipata mtoto wakamuita Isaka. Ibrahimu akawa na watoto wawili mmoja kwa mjakazi wao na mwingine kwa mke wake.
Watoto wa Ishmaeli ndio hawa wapelestina na watoto wa Isaka ndio hawa waisraeli. Ugomvi wao zaidi ni kugombania rasimali tu, wale ni watoto wa baba mmoja mama tofauti
kasome biblia ujue watoto wa nuhuSasa si ngozi ngumu tulitokea wapi?
Wapalestina ni kizazi Cha Hamu mtoto wa Nuhuwapalestina/wafilisti ndiyo watoto wa nani?
Kwa Sasa wafilisti ndo wapalestina,Edomu ya sasa ni JordanKwa sasa Edom ndio Palestine? Wafilist-philistines ndio kina nani Kwa sasa?
Jordan ya sasaKizazi Cha Esau kipi Kwa sasa
asante sanaKwa Sasa wafilisti ndo wapalestina,Edomu ya sasa ni Jordan
Wafilisti Walizaliwa na Misri Mwana wa Hamu mtoto wa Nuhu.NENDA KASOME UPYA HIYO SIMBI PORI ULILOMEZA. Wapalestina hawana uhusiano wowote na Ibrahimu. Wapalestina walikuwepo pale kanaani hata kabla ya Ibrahimu. wao ndo waliompokea Ibrahimu na aliishi kati kati yao. kwa amani kama mgeni wao. Ibrahimu ni mfuagji kama Mang'ati na maisha yake ni ya kuhamahama kufuata malisho. Ndo maana kuna kipindi alihamia Misri kufuata malisho.