shahazady mustafa
Senior Member
- Oct 1, 2018
- 110
- 56
Ubarikiwe mkuuKarb
Umenza na uongo, kweli umejiondoa mitandao yote ya kijamii?Jamani jamani, nmeamua kuachana na mitandao yote ya kijamii na kujiunga ktk familia hii kama syo ukoo huu wa wana jf ili kuwa nanyi pmj ktk yanayo jiri na kubadilishana mawazo na mambo yote ya kijamii yanayoizungu dunia yetu hii, kwa hayo machache naomba nijirushe juu na kisha nidondokee humu ndani ya jamii f hodiiiiiiiiiii, hayaaaaaaa.... Nipo ndani sasa!!
AhsanteKaribu
Ahsante mkuu. Kwanini nitaje Id ya zamani?Tutajie Id yako ya zamani.
Karibu sana.
Nashukuru, hayaa nmekaa.Karbu sanaaaa
Vutakiti ukae
HahaaaHAONEKANI MGENI AISEE KAMA INGEKUA NDOA ANAMUOA MKEWE
Ahsante . Bila shaka tupone pamoja.Karibu mgeni.....wenyeji tupone....
Ahsante sana mkuu. Kule nmeaga na ya huko nmeyaachako huko, so am born newly.Karibu sana JF
Ila zile tabia za huko kwenye hiyo mitandao uliyoachana nayo basi ziache huko huko,jf ni home of great thinker,
Hahaa.. Kumbe na hayo yamo humu? Hapo naoa soon.Puuuuuuhhh kama Mzigo.. Karibu chagua mchumba
Jamani kupga hodi nadhani ni uungwana.Nyie watu mnaofungua ID mpya si muwe mnaingia kimya kimya, nini kujifanya mgeni na hali ni mwenyejiπ‘π‘π‘π‘