Yahusu kuingia humu jf, mabibi na mabwana naomba mapokezi yenu!

Yahusu kuingia humu jf, mabibi na mabwana naomba mapokezi yenu!

shahazady mustafa

Senior Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
110
Reaction score
56
Jamani jamani, nmeamua kuachana na mitandao yote ya kijamii na kujiunga ktk familia hii kama syo ukoo huu wa wana jf ili kuwa nanyi pmj ktk yanayo jiri na kubadilishana mawazo na mambo yote ya kijamii yanayoizungu dunia yetu hii, kwa hayo machache naomba nijirushe juu na kisha nidondokee humu ndani ya jamii f hodiiiiiiiiiii, hayaaaaaaa.... Nipo ndani sasa!!
 
Jamani jamani, nmeamua kuachana na mitandao yote ya kijamii na kujiunga ktk familia hii kama syo ukoo huu wa wana jf ili kuwa nanyi pmj ktk yanayo jiri na kubadilishana mawazo na mambo yote ya kijamii yanayoizungu dunia yetu hii, kwa hayo machache naomba nijirushe juu na kisha nidondokee humu ndani ya jamii f hodiiiiiiiiiii, hayaaaaaaa.... Nipo ndani sasa!!
Umenza na uongo, kweli umejiondoa mitandao yote ya kijamii?
All in all Karibu sana.
 
Karibu sana JF
Ila zile tabia za huko kwenye hiyo mitandao uliyoachana nayo basi ziache huko huko,jf ni home of great thinker,
 
Back
Top Bottom