Yahusu kujiondoa Simba

Yahusu kujiondoa Simba

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
NINAKARIBIA KUJIONDOA Simba kwa MATOKEO mabaya na uzembe mkubwa wa viongozi kamati ya usajili nk.

1. Uhalali wa Kuwepo kwa bilioni20.
Una Bilioni 20 unashindwa kusajili.
1. Victoria Adebayor.
2. Stephen Azizi key.
3. Cezar Lobi Manzoki.
6.Luis Joseph Miquesson.
7. Abdul Suleiman Sopu.
8. Fabrice Ngoma.
9. Bobosi nk.

2 .kama Simba ikishindwa kusajili Manzoki na KIUNGO MKABAJI NAJITOA SIMBA NA MPILA WA TANZANIA KWA UJUMLA.

3. Wazee hawathaminiwi.
Ngoja nisubili dilisha lifungwe nitaelezea yote ya msimbazi.

OLE WAO WASHINDWE KUSAJILI USAJILI UNAFUNGWA 30 AUGUST.

MASHABIKI NA WANACHAMA KINDAKINDAKI TUPO TAYARI KUCHANGIA USAJILI.
 
NINAKARIBIA KUJIONDOA Simba kwa MATOKEO mabaya na uzembe mkubwa wa viongozi kamati ya usajili nk.

1. Uhalali wa Kuwepo kwa bilioni20.
Una Bilioni 20 unashindwa kusajili.
1. Victoria Adebayor.
2. Stephen Azizi key.
3. Cezar Lobi Manzoki.
6.Luis Joseph Miquesson.
7. Abdul Suleiman Sopu.
8. Fabrice Ngoma.
9. Bobosi nk.

2 .kama Simba ikishindwa kusajili Manzoki na KIUNGO MKABAJI NAJITOA SIMBA NA MPILA WA TANZANIA KWA UJUMLA.

3. Wazee hawathaminiwi.
Ngoja nisubiei dilisha lifungwe nitaelezea yote ya msimbazi.

OLE WAO WASHINDWE KUSAJILI USAJILI UNAFUNGWA 30 AUGUST.
Alafu usikute mtoa post hana hata kadi ya uanachama wa Simba timu la kimataifa

Anyway

Mlete mdhunguuu
FB_IMG_16605913881292699.jpg
 
NINAKARIBIA KUJIONDOA Simba kwa MATOKEO mabaya na uzembe mkubwa wa viongozi kamati ya usajili nk.

1. Uhalali wa Kuwepo kwa bilioni20.
Una Bilioni 20 unashindwa kusajili.
1. Victoria Adebayor.
2. Stephen Azizi key.
3. Cezar Lobi Manzoki.
6.Luis Joseph Miquesson.
7. Abdul Suleiman Sopu.
8. Fabrice Ngoma.
9. Bobosi nk.

2 .kama Simba ikishindwa kusajili Manzoki na KIUNGO MKABAJI NAJITOA SIMBA NA MPILA WA TANZANIA KWA UJUMLA.

3. Wazee hawathaminiwi.
Ngoja nisubiei dilisha lifungwe nitaelezea yote ya msimbazi.

OLE WAO WASHINDWE KUSAJILI USAJILI UNAFUNGWA 30 AUGUST.
Shule zifunguliwe mrudi kusoma,mnatujazia server tu na mautumbo yenu!
 
NINAKARIBIA KUJIONDOA Simba kwa MATOKEO mabaya na uzembe mkubwa wa viongozi kamati ya usajili nk.

1. Uhalali wa Kuwepo kwa bilioni20.
Una Bilioni 20 unashindwa kusajili.
1. Victoria Adebayor.
2. Stephen Azizi key.
3. Cezar Lobi Manzoki.
6.Luis Joseph Miquesson.
7. Abdul Suleiman Sopu.
8. Fabrice Ngoma.
9. Bobosi nk.

2 .kama Simba ikishindwa kusajili Manzoki na KIUNGO MKABAJI NAJITOA SIMBA NA MPILA WA TANZANIA KWA UJUMLA.

3. Wazee hawathaminiwi.
Ngoja nisubiei dilisha lifungwe nitaelezea yote ya msimbazi.

OLE WAO WASHINDWE KUSAJILI USAJILI UNAFUNGWA 30 AUGUST.
.
Vumilia nikipindi champito
 
Kwa hyo Kama una billion 20.basi unazitoa tu?
Wewe utakuwa utopolo.
 
Hii mikwara yenu ya nitaleta story kuhusu Simba naona bora muiache tu.

Kwani Manzoki akija ndio Simba SC haitafungwa?
Hili swali kuhusu Manzoki wanakwepa kulijibu. Hivi Manzoki yupi anayeongelewa kuwa tiba ya matatizo ya Simba zaidi ya huyu wa Vipers tunayemjua? Ni kwamba hakabiki, hakosi magoli, ni super goal getter?
Hebu acheni basi, mnampamba mno Manzoki jamani Lakini ni mchezaji wa kawaida sana. Walichokifanya Vipers siku ya Yanga day kibiashara kilikuwa muhimu sana kwao. Mngemuona siku hiyo na hamu ya kuendelea naye ingepungua. Mngebaki mnabishana labda kwa vile ni mechi moja, labda atabadilika, labda uchovu. Mwacheni kocha aende na Mtu anayemwamini. Simba kwa sasa ina strikers 3, na kocha kaleta anayemwamini kwenye mfumo wake, Dejan. Hamuwezi kumbadili wakati mkataba wa Dejan na Simba unawataka awe regular starter na Simba imempangia malengo ya mafanikio.
 
Back
Top Bottom