Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe jamaa unafurahisha! 😁😁NINAKARIBIA KUJIONDOA Simba kwa MATOKEO mabaya na uzembe mkubwa wa viongozi kamati ya usajili nk.
1. Uhalali wa Kuwepo kwa bilioni20.
Una Bilioni 20 unashindwa kusajili.
1. Victoria Adebayor.
2. Stephen Azizi key.
3. Cezar Lobi Manzoki.
6.Luis Joseph Miquesson.
7. Abdul Suleiman Sopu.
8. Fabrice Ngoma.
9. Bobosi nk.
2 .kama Simba ikishindwa kusajili Manzoki na KIUNGO MKABAJI NAJITOA SIMBA NA MPILA WA TANZANIA KWA UJUMLA.
3. Wazee hawathaminiwi.
Ngoja nisubiei dilisha lifungwe nitaelezea yote ya msimbazi.
OLE WAO WASHINDWE KUSAJILI USAJILI UNAFUNGWA 30 AUGUST.
Dah MthunguuuuAlafu usikute mtoa post hana hata kadi ya uanachama wa Simba timu la kimataifa
Anyway
Mlete mdhunguuuView attachment 2324909
Regular starter gani na wewe em tulia, hamna cha mkataba kumtaka wala nini.Hili swali kuhusu Manzoki wanakwepa kulijibu. Hivi Manzoki yupi anayeongelewa kuwa tiba ya matatizo ya Simba zaidi ya huyu wa Vipers tunayemjua? Ni kwamba hakabiki, hakosi magoli, ni super goal getter?
Hebu acheni basi, mnampamba mno Manzoki jamani Lakini ni mchezaji wa kawaida sana. Walichokifanya Vipers siku ya Yanga day kibiashara kilikuwa muhimu sana kwao. Mngemuona siku hiyo na hamu ya kuendelea naye ingepungua. Mngebaki mnabishana labda kwa vile ni mechi moja, labda atabadilika, labda uchovu. Mwacheni kocha aende na Mtu anayemwamini. Simba kwa sasa ina strikers 3, na kocha kaleta anayemwamini kwenye mfumo wake, Dejan. Hamuwezi kumbadili wakati mkataba wa Dejan na Simba unawataka awe regular starter na Simba imempangia malengo ya mafanikio.
Ushabiki huu mbaya sana..
Wahi,hatuhitaji vilaza,fuata vilaza wenzako UtopoloNINAKARIBIA KUJIONDOA Simba kwa MATOKEO mabaya na uzembe mkubwa wa viongozi kamati ya usajili nk.
1. Uhalali wa Kuwepo kwa bilioni20.
Una Bilioni 20 unashindwa kusajili.
1. Victoria Adebayor.
2. Stephen Azizi key.
3. Cezar Lobi Manzoki.
6.Luis Joseph Miquesson.
7. Abdul Suleiman Sopu.
8. Fabrice Ngoma.
9. Bobosi nk.
2 .kama Simba ikishindwa kusajili Manzoki na KIUNGO MKABAJI NAJITOA SIMBA NA MPILA WA TANZANIA KWA UJUMLA.
3. Wazee hawathaminiwi.
Ngoja nisubiei dilisha lifungwe nitaelezea yote ya msimbazi.
OLE WAO WASHINDWE KUSAJILI USAJILI UNAFUNGWA 30 AUGUST.
Toka tu huna lolote la maana shabiki maandaziNINAKARIBIA KUJIONDOA Simba kwa MATOKEO mabaya na uzembe mkubwa wa viongozi kamati ya usajili nk.
1. Uhalali wa Kuwepo kwa bilioni20.
Una Bilioni 20 unashindwa kusajili.
1. Victoria Adebayor.
2. Stephen Azizi key.
3. Cezar Lobi Manzoki.
6.Luis Joseph Miquesson.
7. Abdul Suleiman Sopu.
8. Fabrice Ngoma.
9. Bobosi nk.
2 .kama Simba ikishindwa kusajili Manzoki na KIUNGO MKABAJI NAJITOA SIMBA NA MPILA WA TANZANIA KWA UJUMLA.
3. Wazee hawathaminiwi.
Ngoja nisubili dilisha lifungwe nitaelezea yote ya msimbazi.
OLE WAO WASHINDWE KUSAJILI USAJILI UNAFUNGWA 30 AUGUST.
MASHABIKI NA WANACHAMA KINDAKINDAKI TUPO TAYARI KUCHANGIA USAJILI.