Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Vitu usivyoweza kuviepuka katika magonjwa ya moyo ni
Umri, Vinasaba, Jinsia na Asili yako
Vitu vinavyoepukika ni;
Uzito wa mwili, aina ya chakula unachokula,
Mazoezi ya mwili
Uvutaji wa sigara
Unywaji wa pombe
Umri:
Umri unavyozidi kusonga mbele ndiyo hatari ya magonjwa ya moyo inavyoongezeka. 60+ ni umri wa kujiangalia sana.
Vinasaba.
Kama mzazi wako anasumbuliwa au alisumbuliwa na magonjwa ya moyo, una nafasi kubwa ya kurithi.
Jinsia;
Wanaume wana hatari zaidi ya kusumbuliwa na magonjwa ya moyo kuliko wanawake. Wanawake walio katika umri wa kuzaa homornes zinawasaidia. Baada ya menopause hatari huwa sawa kwa wanawake na wanaume.
Asili:
Magonjwa ya moyo husumbua sana Waafrika, Wahindi na Waarabu na Wahispannia kuliko Wazungu, Wachina na Wajapan.
Umri, Vinasaba, Jinsia na Asili yako
Vitu vinavyoepukika ni;
Uzito wa mwili, aina ya chakula unachokula,
Mazoezi ya mwili
Uvutaji wa sigara
Unywaji wa pombe
Umri:
Umri unavyozidi kusonga mbele ndiyo hatari ya magonjwa ya moyo inavyoongezeka. 60+ ni umri wa kujiangalia sana.
Vinasaba.
Kama mzazi wako anasumbuliwa au alisumbuliwa na magonjwa ya moyo, una nafasi kubwa ya kurithi.
Jinsia;
Wanaume wana hatari zaidi ya kusumbuliwa na magonjwa ya moyo kuliko wanawake. Wanawake walio katika umri wa kuzaa homornes zinawasaidia. Baada ya menopause hatari huwa sawa kwa wanawake na wanaume.
Asili:
Magonjwa ya moyo husumbua sana Waafrika, Wahindi na Waarabu na Wahispannia kuliko Wazungu, Wachina na Wajapan.