Yahusu: Utapeli unaofanywa na Kampuni ya Kimchina iliyopo Salasala, Dar es salaam

Mamlaka husika ziangalie hili
 
HAO KIMCHINA, NI BINTI NA MAMA YAKE.
UTAPELI HAWAJAANZA LEO WALA JANA, HATA KWENYE PAGE ZAO ZA SOCIAL MEDIA MALALAMIKO NI HAYO HAYO.
UKIWAONA ANA KWA ANA, SIO WATU WA KUFANYA NAO BIASHARA, SIO WATU WA KUAMINIKA.
KUNA TAARIFA ZA BINTI KUWA DRUG DEALER, NA ANA WATU WANENE NYUMA YAKE.
 
Tangu nipigwe million 6 kwenye viwanja vya mkopo kupitia hizi kampuni binafsi za kuuza viwanja Imani yangu ndogo sana kuamini biashara mtandao
 
She paid on time simu zililetwa zikawa mbovu sasa since last year August? Mpaka leo simu hazijafika na simu wamekua hawapokei niliongea na manager wao akasema atanipigia the next day baada ya kutala nirudishiwe pesa yangu sikuona simu na nikipiga hawapokei, nilifikiri ni mimi tuu kumbe kuna jopo la watu na wao wametapeliwa..
 
Kwann usiagize Alibaba kuliko kumpa mswahili hela yako
Acha tuuu ndugu yang
Mungu wangu pesa yangu waatatoa tuu ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…