Fabian the Jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 756
- 751
Habari zenu ndugu zangu, Nimeenda hospitali juzi kwa kuwa nilihisi maumivu hapa katikati kabisa ya kifua kwa ndani, sio maumivu makali ya kunifanya nisifanye kazi na yanasikika tu kwa kufanya movements flani ivi au kubeba vitu vizito.
Daktari akashauri tufanye X - ray ya kifua pamoja na vipimo vingine kama vitatu then tutajua shida ni nini. Kwakweli kwa namna ninavyoifahamu X-ray niliyoisoma form 4 na form 6 nilimuomba daktari aniruhusu kwanza nijipange ki saikolojia ndo niende. Ninachofahamu ni kwamba hii kitu ina madhara makubwa sana, na kwamba hata wagunduzi wake walikufa kwa sababu ya hiyo hiyo X-ray.
Naomba mwenye uelewa na hii kitu, au ambae ashawahi kuifanya anisaidie kunijuza, maisha yanakuwaje baada ya kufanya hiyo X - ray ya kifua. Ahsanteni
Daktari akashauri tufanye X - ray ya kifua pamoja na vipimo vingine kama vitatu then tutajua shida ni nini. Kwakweli kwa namna ninavyoifahamu X-ray niliyoisoma form 4 na form 6 nilimuomba daktari aniruhusu kwanza nijipange ki saikolojia ndo niende. Ninachofahamu ni kwamba hii kitu ina madhara makubwa sana, na kwamba hata wagunduzi wake walikufa kwa sababu ya hiyo hiyo X-ray.
Naomba mwenye uelewa na hii kitu, au ambae ashawahi kuifanya anisaidie kunijuza, maisha yanakuwaje baada ya kufanya hiyo X - ray ya kifua. Ahsanteni