Yahya Sinwar aipongeza Lebanon kwa moyo wao wa upendo kwa wapalestina kwa njia ya kupigana na Israel

Yahya Sinwar aipongeza Lebanon kwa moyo wao wa upendo kwa wapalestina kwa njia ya kupigana na Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kiongozi mkuu wa Hamas,ndugu Yahya Sinwar ametoa pongezi kwa viongozi wa Hizbullah ya nchini Lebanon kutokana na kuwaunga mkono wapalestina kwa njia ya kuwashambulia Israel bila kuchoka.

Pongezi hizo zilitumwa kwa njia ya barua na kuwekwa wazi na vyombo vya habari vya Lebanon ni jibu la barua aliyopokea hapo awali kutoka kwa kiongozi wa Hizbulah, Hassan NasraLlah ambaye alituma barua ya kutoa pole kutokana na kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas, bwana Ismail Haniye mwezi uliopita.

Katika barua yake hiyo iliyotangazwa hii leo ambayo iliandikwa Jumatatu iliyopita,Yahya amesema vita vyao na Israel vilivyoanza Oct.7 ni miongoni mwa vita vitakatifu kutokea katika kuitetea Palestina.
1726237889018.png

Israel-Hamas war latest: Oct. 7 mastermind thanks Hezbollah leader for his help attacking Israel

 
Nachojiuliza Hamas wanapata wapi silaha za kuhimili vita muda wote huo, hizo silaha zinaingiaje ikiwa Gaza yote imezungukwa, hii vita sasa inachosha sasa wakae tu mezani busara itumike.
Vitakapoisha basi vitaingia kwenye historia ya vita vya ajabu katika dunia.
Wanapigana wawili wenye uwezo mashariki na magharibi na hakuna mshindi.
 
Nachojiuliza Hamas wanapata wapi silaha za kuhimili vita muda wote huo, hizo silaha zinaingiaje ikiwa Gaza yote imezungukwa, hii vita sasa inachosha sasa wakae tu mezani busara itumike.
Si walijiandaa wakachimba na mahandaki ya chini kwa chini wakakusanya na silaha. Walipo maliza kujiandaa ndo wakavamia Israel tarehe 7/10...! Na vita ndo hiyo inaendelea tuwache wapigane tu watashinda kwa nguvu za Allah isitoshe Israel kashazidiwa sana kama walivyotabiri kina Faiza fox na kina Malalia na ma sheikh wengine
 
Si walijiandaa wakachimba na mahandaki ya chini kwa chini wakakusanya na silaha. Walipo maliza kujiandaa ndo wakavamia Israel tarehe 7/10...! Na vita ndo hiyo inaendelea tuwache wapigane tu watashinda kwa nguvu za Allah isitoshe Israel kashazidiwa sana kama walivyotabiri kina Faiza fox na kina Malalia na ma sheikh wengine
Mungu(Allah) atakablie dua yako ya kejeli kwa Hamas
 
Israel haipigani na Hamas lengo lao kubwa ni kuua Wapalestina wote na wauchukue ardhi yao ndiyo maana wanapiga mabomu kokote kwa kisingizio cha kuwasaka Hamas lakini hata hivyo wanakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Hamas hii inadhihirisha kwamba uwezo wao katika mapigano ni mdogo kwa sababu licha ya kupewa kila aina ya misaada na wafadhili wao lakini unakaribia mwaka sasa wameshindwa hata kuokoa mateka wao.
 
Kiongozi mkuu wa Hamas,ndugu Yahya Sinwar ametoa pongezi kwa viongozi wa Hizbullah ya nchini Lebanon kutokana na kuwaunga mkono wapalestina kwa njia ya kuwashambulia Israel bila kuchoka.

Pongezi hizo zilitumwa kwa njia ya barua na kuwekwa wazi na vyombo vya habari vya Lebanon ni jibu la barua aliyopokea hapo awali kutoka kwa kiongozi wa Hizbulah, Hassan NasraLlah ambaye alituma barua ya kutoa pole kutokana na kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas, bwana Ismail Haniye mwezi uliopita.

Katika barua yake hiyo iliyotangazwa hii leo ambayo iliandikwa Jumatatu iliyopita,Yahya amesema vita vyao na Israel vilivyoanza Oct.7 ni miongoni mwa vita vitakatifu kutokea katika kuitetea Palestina.

Israel-Hamas war latest: Oct. 7 mastermind thanks Hezbollah leader for his help attacking Israel

Hii vita imechukua muda mrefu kwa sababu israel anachangiwa na magaidi wote wa middle east kama hezbollah, houth, syria, houth na baba yao iran na zaidi magaidi wanavaa kiraia na kutumia miundombinu ya kiraia kama hospitali, misikiti shule na kusababisha israel ipigiwe kelele dunia inaua raia
 
Back
Top Bottom