Yahya Sinwar akagua vikosi vyake Gaza. Apigiana simu na viongozi wa Hamas walio nje

Ila Gaza wanajichanganya.si walisema hakuna Hama's yoyote.ni civilian Tu.
Sasa Israel wataanza upya
 
Labda Sinwar wa Buza ila kama ni huyu huyu wa Gaza hata kutoa kichwa tu huko aliko shimoni hathubutu.
 
Umeambiwa katoka na wewe unasema hawezi kutoka.
Na hata shimo alilokuwa keshabadilisha.
Hana akili huyo.
Unajua waisrail wa buza wakisikia habari kama hizi, mavi huwa yanagonga chupi.
 
Haogopi kifo wakati anaishi kwa kujificha siku zote!

Hujui unachoandika.
Kwa sababu kichwa maji ndiyo maana ngumu kuelewa,Kama haogopi kufa basi akae kihasara tu ili auawe!?..we nae una ubongo!!
 
Jipeni moyo tu; Israel inakeenda kumaliza mzizi wa fitna Rafah
 
Safi Sana Kamanda kaibuka vita viendelee mpaka kieleweke. Sasa yule alikuwa anasema wanataka kuweka silaha chini ili iweje?

Vita inaleta heshima, mkitulia kila mmoja atamuheshimu mwenzake. Muache vita mfanye nini, alafu iweje? Piganeni mpaka mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…