Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
sahihi kabisa... muosha huoshwa...Mkuki kwa nguruwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sahihi kabisa... muosha huoshwa...Mkuki kwa nguruwe.
Dabo ni kocha mzuri aisee, kaibadili sana Azamnilikuwa namchukulia powa kocha yusuf dabo... namna alivombadilisha YAHYA ZAID... kutoka striker mpk kiungo ... safi sana... naamini Dabo ana kitu...
Dogo lipumbafu sna alfu unalikuta nae eti kafunga ramadhani ,mnafiki sna anakanyaga watuHuyu bwana mdogo anaacha mpira makusudi anaamua kukanyaga mguu kwa nguvu kubwa na kamera za azam hazikuriludia hilo tukio maana walijua kitakachomkuta huyu bwana mdogo, pacome alikanyagwa makusudi kimkakati zaidi, dogo akaona haitoshi akaamua kumrukia mudathir kisiginoni mudathir nae ilibaki kidogo tu aungane na pacome, yao yao akapigwa kikumbo na huyu dogo akajikuta ameangukia goti na kuumia vibaya sana, naona wengi mnamsifia huyu dogo sasa subirini siku akimvunja chama, chemalone na kiungo fabrice ngoma kwa mpigo na kimikakati zaidi ndo mtaelewa namaanisha nini.
Kama wanaaumizana hvyo na tukio kuto kurudiwa maana yake Ni Kwamba hata uchawi wanalogana. SnaWachezaji wa mpira miguu wanatakiwa wapewe semina ya kutosha juu ya mchezo wa kiungwana (fair play).
Kumuumiza mchezaji mwenzako kwa makusudi ni jambo lisilo kubalika hata kidogo katika michezo.
Sawa, ndiyo maana nimesema naitunza comment hiyo...utakuja kuniambia Muda siyo mrefuWew bana kama umeanza kushabikia mpira leo,
Wachezaji wa undava wapo siku zote, ni wachezaj wa kazi Chafu dunia nzima, Ramos, Pepe, Casemiro, Vidic,
Kwa hio ni kawaida tu, ni watu ambao kwenye team wanatumika kuwafanya wapinzani wawe waoga,
Waambie wachezaji wako wawe makini zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku ya leo hadi iishe kuna watu watakunywa sumu..mana sio kwa stress hizi...propaganda za kumchafua man of the match zayid....akina pakuma na aziza hawakuonekana
halafu kuna wachambuzi wanamsifu kakichafua eti, sawaNaitunza comment hii.....
Unadhani kufanya rafu na kuwachezea vibaya wachezaji wenzako ni sifa???!!!! Hata kidogo.....Unadhani huyo Zayd alichowafanyia wachezaji wa Yanga kwa kuwaumiza unadhani ana raha??? What goes around comes around....Huyo Zayd atakuwa target na wachezaji wengine ...ataumizwa tu....muda wote atakuwa anacheza kwa tahadhari....hajui ni mchezaji yupi atakuja na revenge...
Punguza lawamaHuyu bwana mdogo anaacha mpira makusudi anaamua kukanyaga mguu kwa nguvu kubwa na kamera za azam hazikuriludia hilo tukio maana walijua kitakachomkuta huyu bwana mdogo, pacome alikanyagwa makusudi kimkakati zaidi, dogo akaona haitoshi akaamua kumrukia mudathir kisiginoni mudathir nae ilibaki kidogo tu aungane na pacome, yao yao akapigwa kikumbo na huyu dogo akajikuta ameangukia goti na kuumia vibaya sana, naona wengi mnamsifia huyu dogo sasa subirini siku akimvunja chama, chemalone na kiungo fabrice ngoma kwa mpigo na kimikakati zaidi ndo mtaelewa namaanisha nini.
Saa mbili usiku sio mbaliPunguza lawama
Tutamuua yeye kabla hajatuuwa sisiSaa mbili usiku sio mbali