[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Angalia usijeukaoa mwanamke anayependa hadi za bandia, atakukata kidole maana hawajuagi kabisa kucha ya kukata inaishia wapi
Wahuni sio watu wazuri, kucha zote umefuga ila dole la kati umekata. #wazee wa kupima oil
Inasemekana kwamba kuku anapotaga mayai yake, endapo yataguswa na maji hata kitone tu.. basi mayai hayo 'yataharibika'.
Kama ni hivyo mbona hata yai lenyewe linapotoka huwa katika hali ya ubichi ubichi na haliharibiki...!!!?
Karibuni mayai kwa chai [emoji477][emoji477][emoji477]
View attachment 1294630
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini usiamini wachawi wana kipindi kigumu sana
Unaweza ukadhani nazungumzia ukata wa kipindi hiki au pengine kupungua kwa wateja la hasha! Kuna sababu nyingine tofauti kabisa na hizi. Mchawi na mitunguli yake yote na nguvu zake zote kiboko yake maji, yani hakuna tofauti na kitu cha umeme kisivyopatana na maji. Tunguli na maji ni vitu...www.jamiiforums.com
Jr[emoji769]
Sio maji, ni mirinda nyeusi
Mkuu mshana, nimejaribu kusoma bandiko lako nimeishia kucheka hayo mahusiano ya tunguli na mvua.. eti yasiyo kuwa na water proof wanapata tabu kipindi kama hiki.
Sasa ninarelate vipi hii na yai...! Kuna falsafa gani nyuma yake? Maji na yai.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama yai linavyoogopa maji na tunguli hivyohivyo... Hii theory ni kweli kabisa
Jr[emoji769]
Wasisahau kujibu na juu ya yai la bata, ni kweli ukiligusa tu bata huliacha?
Jambo la pili, watu wanaogopa kukaribia hiyo chai yako kwasababu ya kucha zako (jokes)