Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Inasemekana kwamba kuku anapotaga mayai yake, endapo yataguswa na maji hata kitone tu.. basi mayai hayo 'yataharibika'.
Kama ni hivyo mbona hata yai lenyewe linapotoka huwa katika hali ya ubichi ubichi na haliharibiki...!!!?
Karibuni mayai kwa chai [emoji477][emoji477][emoji477]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo mbona hata yai lenyewe linapotoka huwa katika hali ya ubichi ubichi na haliharibiki...!!!?
Karibuni mayai kwa chai [emoji477][emoji477][emoji477]
Sent using Jamii Forums mobile app