Yajayo Hayafurahishi; Mtazamo wa Isaya, Mnazareti, Mohammad, Wanautamaduni, na Wanavyuoni wa Kisasa

Yajayo Hayafurahishi; Mtazamo wa Isaya, Mnazareti, Mohammad, Wanautamaduni, na Wanavyuoni wa Kisasa

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
Dunia sio sehemu salama tena pamoja na juhudi zote za kuinawirisha.

MTAZAMO WA ISAYA
800px-Antonio_Balestra_-_Prophet_Isaiah.jpg

UTANGULIZI WA ISAYA

Huyu alikuwa mtabiri wa kiebrania aliyeandika maandishi yake mnamo karne ya 8BC akiongozwa na Nguvu iliyo nje ya uwezo wake.
Anakadiliwa kuanza kazi zake mwaka 740BC, na alifanya kazi hiyo ya unabii zaidi ya Miaka 64.
Isaiah anajitambulisha yeye mwenyewe kama nabii(mtabiri wa YAJAYO) kwenye Kitabu chake.
Miongoni mwa mambo ya ajabu aliyowahi kutabiri ni Ujio wa Utawala wa UMEDI NA UAJEMI na akataja Jina la Kiongozi wa dola hilo mfalme KORESHI miaka 150 kabla hajazaliwa kwenye miaka ya 590BC na Kuitawala dunia ya miaka hiyo takribani mwaka 545BC.

ISAYA: YAJAYO HAYAFURAISHI NA DUNIA ILIPO NA INAKOELEKEA
The-End-of-the-World.jpg

"Dunia inaomboleza, inazimia, walimwengu wanadhoofika, watu wakuu wa dunia wanadhoofika...
Dunia inalewalewa kama mlevi, nayo inawayawaya kama machela; na mzigo wa dhambi zake utaielemea; NAYO ITAANGUKA WALA HAITA INUKA TENA.

Isaya 24:4,20

MNAZARETI { Yesu aitwaye Kristo}.

Matthew24v6_8.jpg

Huyu naye kila anayeeleza habari zake anamuita jina lake, mimi na Mwita Mungu, Wengine wanamuita Nabii, Wengine wanamuita Mwalimu mashuhuri, wengine wanamuita Mwanaphilosofia wa aina yake, Wengine wanasema ni mtu wa kufikirika yote mema.
Kikubwa ni Ukweli kwamba katika maandishi yanayomuelezea anasisitiza kwa msimamo mkali bila kupepesa macho kuwa Dunia inakwenda KUANGAMIZWA. Dunia na maisha haya ni kitu cha mpito. Dunia hii itaangamizwa kabisa na atakuja kuanzisha ufalme wake na wote wanaosikia kauli zake. Katika ufalme ule hakuna magonjwa,shida, njaa wala maombolezo ni furaha tele.
Ila kuhusu hii Dunia, Yajayo anasisitiza Hayafurahishi.

UISLAM NA YAJAYO( Nabii Mohammad); Islamic Eschatology

maxresdefault.jpg


Matukio makubwa ya kutisha pia yanaelezwa kuhusu yajayo katika Uislam kabla ya Kiyama au YAWM AL-QUIAMA.
Kunategewemwa kuwa na Vita kubwa kama inavyoelezewa katika bibilia Harmageddon kule inaitwa siku ya FITNA au AL-MALHAMA AL-KUBRA au kwa washia inafahamika kama GHAYBAH Vita vitakavyoambana na mauaji ya kutisha, Kutakuwa na uharibifu mkubwa na sintofahamu nyingi ambazo zitaongozwa na mpinga kristo ambaye kule anafahamika kama Masih ad-Dajjal.


WANAUTAMADUNI KUTOKA MEXICO.
5aa2f1aec6e980060a8b45eb-750-396.jpg


Upo utamaduni kwenye baadhi ya makabila huko mexico ambao wanaamini Dunia huko nyuma iliwahi kuangamizwa (parallel to Abrahamic Flood Story), Lakini Pia wanaamini huko mbele kitu kama hicho cha Uharibifu kitakuja kutokea tena.

ULIMWENGU WA WANAVYUONI NA WANASAYANSI.
Huku nako Yajayo hayafurahishi ni kutishana kila kukicha.

NASA
Asteroid-2018-AJ-NASA-906720.jpg

Mwaka huu 2018 kuna Kimondo kinachosadikiwa kutua mahala popote katika dunia. Na kinaweza kuponda mahala popote wakati wowote. Miaka michache imepita tulikuwa na Taarifa kuwa kuna JABALI kubwa sana linakuja kwa kasi isiyo ya kawaida kama likiiponda dunia litaisambaza, likiikosakosa litaiyumbisha kiasi cha kuadhili kila kinachooendelea duniani. Lilikadiliwa kufika Duniani ndana ya Miaka mingi ijayo.

GAZETI LA NEW SCIENCE
t1650049-first_hydrogen_bomb_explosion_1952-800x533.jpg


Gazeti hili limeandika makala hali ya dunia ndani ya Miaka 60 ijayo miongoni mwa analysis zote hii ilichukua umakini wangu.
wanasema Licha ya Silaha nyingi za kinyuklia zilizopo kwa US an RUSSIA. Huko mbeleni tutegemee Vita vya kinyuklia kati ya nchi na nchi, au sehemu na sehemu sio lazima iwe ya kidunia. Inaweza kuwa kati ya hata India na Pakistani.

Licha ya Vita hivyo kuua Maelfu, Wingu kubwa la moshi wenye moto kutoka katika silaha hizo litapaa na kufika angani na kutanda kwenye Ionosphere (Jiografia kidato cha tatu) na Kuzuia miale ya Jua kupenya kuja duniani. Tukio hilo litapelekea matatizo na madhara makubwa kwa dunia yetu.
Unaweza kusoma mwenyewe Bandiko la wananzuoni wa kisayansi waliochambua hilo vizuri.
Article:Multidecadal global Cooling and unprecedented ozone loss following a regional nuclear Conflict.

MWISHO:
Yajayo katika dunia hii Hayafurahisi, uchague kukataa, Uchague kupuuza, ila huo ndio ukweli. Usalama pekee ni wewe na familia yako kufanya maamuzi ya hiyari na ya Thamani Kuchagua kuwa Muhanga wa haya Matukio au Yajayo yaliyombele ya Yajayo Yasiyofurahisha. Kilichombele ya Yasiyofurahisha Kinafuruhisha kwa waliochagua. Binafsi pamoja na kutisha kwote kwa maisha haya, Uwezekano wa kufa wakati wowote kwa sababu zilizondani au nje ya Uwezo wangu, Kwa kujitakia au kutojitakia nimemchagua Yesu maana aliwahi kusema kwenye maandiko ya kale "...Kila amtazamaye mwana (Yesu) na Kumwamini yeye, awe na Uzima wa Milele, nami nitamfufua siku ya mwisho"Yohana 6:40.


Nimefanya utafiti usio rasmi kila mwanadamu ana mtu, kitu, nadharia anayoifuta na kuiamini. Ila Ukiacha hiyo kauli yenye msimamo mkali ya Mnazareti huyo (Yesu) wengine/Vingine vyote havitoi kauli ya ujasili kuwa vitawasaidia kwa lolote wanaoviamini wakati huu tata dunia inayoupitia.



Karbuni kwa maoni mbalimbali wakuu sana.
 
Licha ya Vita hivyo kuua Maelfu, Wingu kubwa la moshi wenye moto kutoka katika silaha hizo litapaa na kufika angani na kutanda kwenye Ionosphere (Jiografia kidato cha tatu) na Kuzuia imale ya Jua kupenya kuja duniani. Tukio hilo litapelekea matatizo na madhara makubwa kwa ulimwengu yasiyo ya kawaida.


Hapa rekebisha siyo ulimwengu itakayo angamia ni dunia
795px-Planet_Discovery_Neighbourhood_in_Milky_Way_Galaxy.jpeg
IMG_20180709_093904_436.jpg
 
Ubongo unefunguka kiasi japo Nina maswali je kama wanasayansi Hao ndo waligundua Dunia ina gravitation force inakuaje itapalaganyika je mvutano utapongua au Kuna upande unavuta zaidi ndo utabaki umeshikana
 
Binafsi siamini hizi dini za watu.....ni propaganda tu. Waafrika tumedanganywa sana miaka zaidi ya 400 na tumekuwa wakereketwa tena zaidi ya waliotuletea ila unashangaa hatuna nabii hata mmoja toka Afrika. Mohammad alikuwa anabaka wake za watu na kuuwa watu at will ila kawa nabii. Kubaka na kuuwa ni dhambi kwanini Mohammad awe nabii for doing what he did? Waafrika tumedanganywa sana, turudi kwa mizimu yetu.
 
Binafsi siamini hizi dini za watu.....ni propaganda tu. Waafrika tumedanganywa sana miaka zaidi ya 400 na tumekuwa wakereketwa tena zaidi ya waliotuletea ila unashangaa hatuna nabii hata mmoja toka Afrika. Mohammad alikuwa anabaka wake za watu na kuuwa watu at will ila kawa nabii. Kubaka na kuuwa ni dhambi kwanini Mohammad awe nabii for doing what he did? Waafrika tumedanganywa sana, turudi kwa mizimu yetu.
...mkuu una ushahidi wa hizo claim dhidi ya nabii Mohammed ?!!!...jaribu kuheshimu imani za watu mkuu
....japo hata mm siziamini sana hizi dini za kuletwa ila naheshimu iman za kila aaminicho MTU coz hata mm kuna imani yangu
 
Hilo jiwe toka nilisikie kama kweli lingekuwepo dunia ingekuwa kufusi kitambo2.
 
...mkuu una ushahidi wa hizo claim dhidi ya nabii Mohammed ?!!!...jaribu kuheshimu imani za watu mkuu
....japo hata mm siziamini sana hizi dini za kuletwa ila naheshimu iman za kila aaminicho MTU coz hata mm kuna imani yangu


Sikashifu Mohammad wala dini za watu nina ushahidi tosha kwa sababu nimesoma. Unataka kuniambia wewe unaamini tu kwa kukariri ila hujuwi unaabudu nini? tatizo kubwa la waislam ni hili, kuabudu tu bila kujuwa wanaamini nini. Inauma na kusikitisha sana, kwanini waafrika tunakuwa wajinga wa kukariri tu bila kufikiri?
 
...mkuu una ushahidi wa hizo claim dhidi ya nabii Mohammed ?!!!...jaribu kuheshimu imani za watu mkuu
....japo hata mm siziamini sana hizi dini za kuletwa ila naheshimu iman za kila aaminicho MTU coz hata mm kuna imani yangu


Mohammad alikuwa ni mtu wa varangati, aliua sana watu na kuwabaka wanawake japo wengine aliwachinja kama kuku (beheading), pia mmoja kati ya wake zake alikuwa mtoto wa miaka 6 wakati yeye akiwa na miaka 52, sasa fikiria Mungu anaruhusu haya kweli? Hizi dini za mashariki ya kati ni za utata mtupu.....waafrika inabidi tujiangalie. Jamani someni historia mjuwe ukweli.
 
Licha ya Vita hivyo kuua Maelfu, Wingu kubwa la moshi wenye moto kutoka katika silaha hizo litapaa na kufika angani na kutanda kwenye Ionosphere (Jiografia kidato cha tatu) na Kuzuia imale ya Jua kupenya kuja duniani. Tukio hilo litapelekea matatizo na madhara makubwa kwa ulimwengu yasiyo ya kawaida.

Hapa rekebisha siyo ulimwengu itakayo angamia ni dunia View attachment 811340View attachment 811341
Asante mkuu . Nimekurupuka asubuhi saa kumi nikasukumwa kuandika haya nikajikuta muda umeniishia nikatuma bila kuhariri. Nitarekebisha mkuu
 
Binafsi siamini hizi dini za watu.....ni propaganda tu. Waafrika tumedanganywa sana miaka zaidi ya 400 na tumekuwa wakereketwa tena zaidi ya waliotuletea ila unashangaa hatuna nabii hata mmoja toka Afrika. Mohammad alikuwa anabaka wake za watu na kuuwa watu at will ila kawa nabii. Kubaka na kuuwa ni dhambi kwanini Mohammad awe nabii for doing what he did? Waafrika tumedanganywa sana, turudi kwa mizimu yetu.
" Binafsi siamini hizi dini za watu " Mbona unakashif dini za watu, kuwa mstaarabu. Ukiwa muongo usiwe msahaulivu, kwa mtazamo wa harakaharaka tumekuelewa dini unayoiamini. Pumbaffffff.
 
Sikashifu Mohammad wala dini za watu nina ushahidi tosha kwa sababu nimesoma. Unataka kuniambia wewe unaamini tu kwa kukariri ila hujuwi unaabudu nini? tatizo kubwa la waislam ni hili, kuabudu tu bila kujuwa wanaamini nini. Inauma na kusikitisha sana, kwanini waafrika tunakuwa wajinga wa kukariri tu bila kufikiri?
Wapi uliposoma??? Tuwekee huo ushahidi.... Inaonesha wazi chuki zako kwa Uislam. Ficha ujinga wako.
 
Back
Top Bottom