mosabiy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,521
- 1,927
REALISTICWewe unaamini nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
REALISTICWewe unaamini nini?
kuamini injili ili iweje, wakati unadai hakuna mwisho wa dunia.?Acheni uoga wa maisha, mwisho wa dunia ni pale utakapo kufa wewe, watu wengine wataendelea kubaki wakinywa balimi. Ila utubu na kuamini injili.
hutishwi unapewa exposure mkuu.Hizi story za kutishana tu, hamna lolote.
Kweli, unamuamini Yesu, unamkabidhi njia zako, kisha unaendelea na mapambano ya maisha pila kutishwa na mambo madogomadogo.Huu ni wakati wa kushikamana na Yesu kuliko wakati wowote ule..
Hakuna aliyemdanganya mwafrika.Binafsi siamini hizi dini za watu.....ni propaganda tu. Waafrika tumedanganywa sana miaka zaidi ya 400 na tumekuwa wakereketwa tena zaidi ya waliotuletea ila unashangaa hatuna nabii hata mmoja toka Afrika. Mohammad alikuwa anabaka wake za watu na kuuwa watu at will ila kawa nabii. Kubaka na kuuwa ni dhambi kwanini Mohammad awe nabii for doing what he did? Waafrika tumedanganywa sana, turudi kwa mizimu yetu.
gravitational force inaukomo wake mkuu tena haiendi mbali.Ubongo unefunguka kiasi japo Nina maswali je kama wanasayansi Hao ndo waligundua Dunia ina gravitation force inakuaje itapalaganyika je mvutano utapongua au Kuna upande unavuta zaidi ndo utabaki umeshikana
wakati kuna ufufuo? inategemea umekufa katika hali ganiukweli mchungu lakini ndo ukweli.. Kifo tu ndio usalama wa binadamu
Hapo ndo penyewe. Habari mbaya ya kusikitisha, Yesu amechafuliwa hatari. Kuna watu wanadai wanamuamini lakini wamefanya yao wanayoyajua.gravitational force inaukomo wake mkuu tena haiendi mbali.
ukiikimbia dunia kwa spidi inayoitwa (critical Velocity) ndani ya muda utakuwa unaelea bila kubabaisha na Gravitational force.
Wanaposema jabali linapita kwa spidi ya LightYears, ni kwamba hata hivyo vigravitational force haviwezi kufua dafu. Ila ni vitu vya kimakisio. Tukio moja tu litakalomudu kuisambaratisha dunia. Kuja kwa Yesu kuchukua waliomuamini, na waliokufa wakimuamini. Baada ya hapo dunia itakunjwa kama ukurasa.
REALISTIC
Hakuna aliyemdanganya mwafrika.
Dini hasa ya Kikristo ni ya waafrika hata kabla ya hao wazungu kuja.
Kuna kipindi afrika ilikuwa na wakristo wengi hata kuliko ulaya miaka zaidi ya 1700 iliyopita.
Ukristo mwingi wa ulaya ulianzia afrika.
Usichanganye wahuni waliokuja kuutumia umissionary kama mbinu ya kutawala waafrika, na ukristo halisi.
Afrika ni sehemu bora, ambayo imetajwa na bibilia kuanzia mwanzo nadhani hadi mwisho. Wako mitume wengi tu wa kiafrika japo hawakuandikwa. Hata mke wa Musa aliyewavusha wana wa Israel kutoka misri alikuwa mwafrika. Hivyo watoto wa Musa walikuwa machitara wa kiafrika.
Baba mkwe wake Musa (mwafrika) ndiye aliyetumika na Mungu kutoa hekima ya uongozi na kumuwezesha Musa kutawala wale jamaa. Mungu ameanza kuwatumia waafrika kwenye mambo makubwa hata kabla ya Ukristo.
Mwamini Yesu mkuu, nje yake hakuna nabii wala mdau yoyote anayetoa matumaini ikitpkea umemuamini.
UNAELEWA MAANA YA HII SENTENSI? "Leo jua limewaka kwa sababu nimeliona"Which is? Do you believe Mohammad alishushiwa Qu'ran na mwenyezi Mungu kweli wakati jamaa alikuwa ni mbakaji na muuwaji?
Wewe jamaa una ugomvi na Muhammad nini maana ulivyo mng'ang'ania si mchezo.Mohammad alikuwa mbakaji, hili halina ubishi....waislam hawataki tu kuamini kwa sababu wamefungwa akili.