Yajayo yanafurahisha. Je, uko tayari?

Yajayo yanafurahisha. Je, uko tayari?

Tumia hoja za kiakili,

Na uanze kwa kuelezea unawezaje bain kuwa sku za mtu flan zimeisha/zimekaribia kuisha??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa hili swali unatakiwa ulijibu wewe ambae unahisi ya kuwa suala la kusogeza mbele miaka ya mtu kuishi inawezekana au litakuja kuwezekana,huku mkijifariji ya kuwa ni suala tu la muda.
 
Kanuni za uumbaji haziko hivyo. Hivi ushawahi kujiuliza kwanini urefu wa mchana uko vile vile na urefu wa usiku uko vile vile ? Au hili pia huwa mnajifariji ipo siku kwa kutumia akili hizi itawezekana kupeleka masaa mbele au kurudisha nyuma ? Kama hili haliwezekani kwanini kwanini wasijue ya kuwa mengine hayawezekani ?

Kaka huo msemo hautumiki katika kila jambo,japokuwa msemo huu huwa tunautumia sana katika kujifariji.

Hivi kuna mtu anajua umbile halisi la upepo au njaa ? Au hili pia mtakuja kulijua miaka ijayo ?
Mkuu ngoja niku kosoe hapo kwe ulefu wa mcha ni sawa na usiku sio kila mahali dunia kupo hiyo mfano uingeleza kuna mda usiku unakuwa mlefu kuliko mchana poa kwa muda mwingine mchana unakuwa hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu embu jaribu kufikiri kila mmoja duniani tunge kuwa na mawazo Kam yako unafikiri tungefika hapa.kujaribu ndo kume tufikisha hapa na bado tuna endelea.Mungu katupa marifa ndo haya tunaya tumia.je unajua kiwango na kikomo cha marifa tuliyo pewa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Na ndio yeye akatuwekea mipaka katika kufikiri ili tuepukane na makosa na kubahatisha.
 
Mkuu ngoja niku kosoe hapo kwe ulefu wa mcha ni sawa na usiku sio kila mahali dunia kupo hiyo mfano uingeleza kuna mda usiku unakuwa mlefu kuliko mchana poa kwa muda mwingine mchana unakuwa hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanza umekosea kunikosoa,mimi sijalinganisha urefu wa mchana kwa urefu wa usiku,bali nimesema urefu wa mchana kutobadilika na urefu wa usiku kutokubadilika.

Sasa hapa unatakiwa unikosoe kwenye maneno hayo.
 
Mkuu ulimanisha usiku na mcha ni sawa dunia kote sio?
Kwanza umekosea kunikosoa,mimi sijalinganisha urefu wa mchana kwa urefu wa usiku,bali nimesema urefu wa mchana kutobadilika na urefu wa usiku kutokubadilika.

Sasa hapa unatakiwa unikosoe kwenye maneno hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio yapo maeneo ni giza tu miaka na miaka kama ilivyo kwamba kuna maeneo ni nuru tu miaka na miaka

Usiku na mchana ni utaratibu tu wa kutofautisha pande mbili za dunia. Upande ambao unamulikwa na jua na ule upande ambao mwanga huo wa jua hauwezi kumulika kwasababu ya kivuli cha dunia

Kuna satellite ambazo zipo angani zinatembea na mchana tu week, miezi na miaka

Pia kuna anga ukikaa hutoona nuru miaka maelfu na maelfu


Hii labda iwe mada nyingine sasa
Mkuu hapa unaweza kuongezea nyama zaidi...kuna la kujifunza hapa asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitajie hayo maeneo kaka ambayo ni giza miaka yote na ni nuru miaka yote.

Na kama nu giza na ni nuru tupu,hii kauli yako ya miaka yote umeipata wapi ?
Mkuu hapa unaweza kuongezea nyama zaidi...kuna la kujifunza hapa asee

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyota unazoziona angani hazipo karibukaribu kama unavyoziona, nafasi kati ya nyota na nyota ni mabilioni au matrilion ya kilomita ndipo uweze kuifikia nyota nyingine.

Pia nafasi kati ya galaxy na galaxy umbali mkubwa kuliko wa nyota na nyota
Kama unavyoona kwenye hii picha, pembeni ya hizi galaxy ni giza totoro kuliko lile giza ulijualo la usiku
images%5B1%5D.jpeg


Sasa maeneo hayo makubwa yenye giza, mengi yamedumu mamilioni ya miaka bila kuona nuru.

Kadhalika kuna maeneo kuna nuru muda wote ndani ya kila galaxy

Picha hii iliyopigwa kwa kutumia camera zenye uwezo wa hali ya juu inaonyesha namna tunavyoziona nyota angani wakati wa usiku
images%5B1%5D%5B1%5D.jpeg


Sasa tunaona galaxy yetu yote inag'aa na sisi tupo ndani yake ila tunashangaa ukitoka nje ya anga la dunia upande wa pili kuna giza totoro, au nyakati za usiku tunaona giza ilihali galaxy yetu inaonekana kung'aa kama hivi
1.jpeg


Kwa haraka haraka fikiria katikati ya galaxy na galaxy kuna giza la aina gani miaka yote hiyo?
 
Nyota unazoziona angani hazipo karibukaribu kama unavyoziona, nafasi kati ya nyota na nyota ni mabilioni au matrilion ya kilomita ndipo uweze kuifikia nyota nyingine.

Kaka hivi unajisikiaje kuandika maneno kama haya ? Hivi kweli elimu inataka kubahatisha ?

Kwanini useme mabilioni au matrilioni hii inaonekana huna uhakika na unacho kisema ?

Swali wana sayansi hutumia nini kukadiria umbali huo ? Maana umisema kupima na kupata uhakika hili haliyumkiniki.
 
Pia nafasi kati ya galaxy na galaxy umbali mkubwa kuliko wa nyota na nyota
Kama unavyoona kwenye hii picha, pembeni ya hizi galaxy ni giza totoro kuliko lile giza ulijualo la usiku

Hapa huna hoja,swali la msingi ni wakati gani walipiga hizo picha ? (Japokuwa huwa siamini kuhusu elimu ya anga yaani sayari na nyota). Hapa napima uwezo wako wa kufikiri kuona ukoje.

Tuendelee.
 
Kaka hivi unajisikiaje kuandika maneno kama haya ? Hivi kweli elimu inataka kubahatisha ?

Kwanini useme mabilioni au matrilioni hii inaonekana huna uhakika na unacho kisema ?

Swali wana sayansi hutumia nini kukadiria umbali huo ? Maana umisema kupima na kupata uhakika hili haliyumkiniki.
Kukwambia hivyo ni katika kukuelewesha tu mkuu maana wewe ni binadamu mwenye uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo kwa makadirio na kwa vipimo halisi

Nyota iliyo karibu yetu ijulikanayo kama "alpha centauri au rijili kantori, rijili kantarusi"ambayo ipo ndani ya galaxy yetu ya milky-way, mwanga kutoka kwenye hiyo nyota huchukua muda wa miaka 4.37 ukisafiri tu hadi kufika duniani

Kwa wastani mwanga husafiri karibu kilomita laki tatu kwa sekunde

Sasa piga mahesabu mwenyewe kama mwanga unachukua muda wa miaka minne kutoka kwenye hiyo nyota mpaka kufika kwetu ni trillions ngapi za kilometres kati ya jua letu na hiyo nyota

Sitaki kubishana ila nataka upate mwanga tu ni namna gani haya mambo yapo
 
Hapa huna hoja,swali la msingi ni wakati gani walipiga hizo picha ? (Japokuwa huwa siamini kuhusu elimu ya anga yaani sayari na nyota). Hapa napima uwezo wako wa kufikiri kuona ukoje.

Tuendelee.
Ngoja nikuache tu maana unanipotezea muda
 
L
Heri ya mwaka mpya wana JF…
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Ni wazi dunia ya sasa (karne ya 21) ni tofauti kabisa na dunia ya karne zilizopita katika Nyanja za Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na Kiteknolojia. Mafanikio ya sasa ni matokeo ya juhudi, uwajibikaji uliofanywa na watu mbalimbali kipindi cha nyuma. Wanasayansi kwa kutumia maarifa yao na kufanya tafiti mbalimbali wameweza na wanaendelea kugundua vitu mbalimbali kufanikisha Dunia na viumbe vyote waishio ndani yake vinakuwa salama na kufaidi matokeo ya ubunifu wao ikiwemo kurahisisha kazi mbalimbali.

Nyanja ya kiuchumi:
Miaka ya nyuma vyanzo vikuu vya utajiri vilikua ni malighafi mbalimbali (material things) mfano madini (dhahabu, chuma, makaa ya mawe) pamoja na visima vya mafuta. Dunia ya leo chanzo kikubwa cha utajiri ni maarifa.

Miaka ya nyuma ili nchi ziweze kuwa na uchumi imara zilikua zinatumia njia mbalimbali kama uvamizi (conquest) kuvamia nchi nyingine na kupora mali zao kama vile madini. Mfano mzuri ni nchi ya Ujerumani iliivamia Ufaransa na kupora majimbo yake mawili ya Alsace na Lorrane yaliyokuwa na utajiri wa chuma na makaa ya mawe. Uvamizi huu ulipeekea kuibuka kwa vita baina ya hayo mataifa mawili iliyojulikana kama Franco- Prussian war (1870-1871).

Dunia ya sasa nchi nyingi zinatumia maarifa zaidi ili kuweza kuwa na nguvu kiuchumi, kisiasa, kijeshi, kijamii na kiteknolojia. Mfano mzuri ni China, kwa kiasi kikubwa China amefanikiwa kuliteka soko la Africa na dunia kwa ujumla kwa kuanzisha mahusiano ya kibiashara na nchi mbalimbali na kufanikiwa kupata soko la bidhaa zake hasa za kielektroniki kwa kuziuza kwa bei ambayo inatofautiana kati ya bara moja na lingine kuendana na ubora wa bidhaa husika.

Pia dunia ya sasa inafurahia mchango mkubwa wa maendeleo ya sayansi na teknolojia katika Nyanja ya usafirishaji( fast moving cars, aeroplane, Jet), kuwasiliana(internet, social network, smartphones and computer), biashara( online tradings/ E- Commerce) kilimo(modern farming equipment and irrigation), na kuongezeka kwa ubora na wingi wa bidhaa za viwandani.

Nyanja ya teknolojia.
Kihistoria kila baada ya takribani miaka 500 dunia hupokea mabadiliko makubwa, kwa sasa tupo kwenye information age, kabla ya hapo dunia ilikua kwenye industrial age ilyoishia miaka ya 1989 baada ya kuvunjika kwa ukuta wa Berlin.”The information age means we all need to become more self-sufficient, grow up and take personal responsibility for our future”

Kwenye information age tutaangalia mchango wa mwanasayansi Elon Musk katika project zake mbalimbali. Huyu ni mwanzilishi wa kampuni kama Space X inayojihusisha na maswala ya anga na TESLA inayojihusisha na utengenezaji wa magari yanayotumia umeme. Dunia ya sasa inategemea mambo makubwa mengi kutoka kwa Elon kwani ana mipango mingi ya kuibadilisha dunia kupitia project zake nyingi.

Elon ana mpango wa kupeleka dunia kuishi kwenye sayari ya Mars. Pia kupitia ugunduzi wake ana mpango wa kuanzisha magari yatakayotumia nishati ya umeme. Kubwa kutoka kwa mwanasayansi huyu ana project inayojulikana kama Hyperloop. Hii ni teknolojia ya treni yenye kasi zaidi ambayo itakuwa inatumia mwendokasi wa kilomita 1200 kwa saa. Treni hii itakuwa inapita ndani ya tunnel ambalo halina hewa ndani yake(vaccum).

Nyanja ya Kijamii.
Kwa kiasi kikubwa maendeleo ya sayansi na teknolojia yameleta mchango mkubwa sana katika Nyanja hii. Ugunduzi wa kinga na madawa dhidi ya magonjwa mbalimbali kama TB, Ebola, Flu na saratani umechangia kupunguza vifo vya watu na pia makadirio yay a kuishi kwa watu (life expectancy) yameongezeka kutoka miaka 40( karne ya 18) hadi kufikia miaka 70( karne ya 21) kwa nchi zilizoendelea.

Utafiti wa kisayansi ulofanywa na wanasayansi Aubrey de Grey na Ray Kurzwel (winner of the 1999 US National Medical of Technology and Innovation), unaeleza kwamba kufikia miaka ya 2100 kuna uwezekano mkubwa vifo vikapungua kwa wingi sana na life expectancy kufikia miaka 150. Hili litachagizwa zaidi na ugunduzi wa madawa yatakayosaidia kutibu magonjwa pamoja na kuziongezea nguvu tissues na organ mbalimbali kama ngozi, ubongo na macho.

Madawa hayo yatazifanya organ na tissue hizo kufanya kazi kwa muda mrefu bila kuchoka. Pia itamlazimu mwanadamu kupata kinga fulani labda kila baada ya miaka10 kwa lengo la kuboresha organ na tissue mbalimbali za mwili.

Utafiti wa kisayansi unaonesha kwamba kifo ni matokeo ya makosa ya kiufundi (technical problem) na kila kosa la kiufundi lina suluhisho. (You can accept death, deny it or fight it). Mfano ukiumwa utaenda hospitalini na muuguzi atakufanyia uchunguzi kasha atakupa majibu ya kinachokusumbua, labda unasumbuliwa na malaria, flu, typhoid au TB. Majibu ya muuguzi kamwe hayawezi kuwa wewe unasubiri kifo, kwa sababu anajua hayo magonjwa yanatibika. “Every technical problem has got it solution”

Wanasayansi wanaenda mbali kwa kusema kwamba majanga ya asili kama tetemeko la ardhi, milipuko ya volcano, mafuriko na ukame yanasababishwa na makosa ya kiufundi. Hivyo kama serikali itatengeneza sera nzuri na kuchukua tahadhari mapema, kutakua na asilimia kubwa ya kupunguza vifo vitokanavyo na majanga ya asili na kupelekea makadirio ya kuishi kwa mwanadamu kufikia miaka 150.

Ongezeko la makadirio ya kuishi kwa mwanadamu litaleta mabadiliko makubwa sana kwenye mahusiano, ndoa, masuala ya kiuchumi na kisiasa pia. Kama mwanadamu atakuwa na uwezo wa kuishi miaka 150 hivyo pia nafasi ya watu kuoa au kuolewa itabadilika. Tutegemee kuona watu wakioa au kuolewa katika umri wa miaka 70..80….90 na kuendelea. Pia kwenye siasa tutegemee kuona katiba za nchi kuhusu muda wa kiongozi kukaa madarakani kubadilika pia.

It is therefore likely that major epidemic diseases will continue to endanger humankind in the future, only if humankind itself creates them.
The future is exciting!!!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
AZIMA UWE TAYARI TU MKUU; WATA ANDAA VIJARIDA, NA MOBILE APPLICATION LUNDO UTAELEWA KILA KITU
 
Mada hatari sana hii na inaonyesha sisi wala hatuna habari na kinachoendelea
World Economic forum leo wameongelea kuhusu wachina na kasi yao
Na kubwa zaidi ni jinsi gani wanapambana kuwalisha watu wao 1.4b
Na walishaji sisi tumo pia can you imagine
Lakini sijawahi kusikia hii
Na kweli mpaka tumbo lishibe ndio uongeze maarifa
dade54b8f2aced59ee5c025d9ca6e971.jpg
093f16589d1428860cd2d21dce89aee3.jpg
3e3d6e5c3786e10cdcaebefdc6e4f931.jpg


Sent from my SM using Tapatalk
Duhhh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanawaza ni jinsi gani wavuke hiyo mipaka ili kuleta usalama na urahisi duniani wewe unawaza kukwama.

Ama kweli hizi dini zimetuharibia watoto

Kwahiyo hata madawa na mashine za kisasa huko mahospitalini ni za uongo?

Unapopewa tahadhari ya vimbunga, matetemeko, mvua kubwakubwa, tahadhari ya magonjwa fulani nk, unakuwa unadanganywa?

Vipi hiyo smartphone inayotumia kupost hapa jf?

Unaelewa ni mahesabu ya namna gani yamepigwa hadi kufanya internet ipatikane mataifa yote duniani?

Unawabeza wanasayansi wakati inasemekana mitume wako walipansa wanyama ilihali wewe unaweza kupita hadi angani
Mitume yake hata kuunda kijiko tu " walikuwa hawajui !!!

Mimi nilitegemea kwamba kwakuwa mitume ndio ilikuwa inapokea ujumbe toka kwa mungu moja kwa moja (kwa mujibu wao") basi hiyo mitume ndio ingekuwa inaongoza kwakufanya gunduzi mbali mbali " hapa duniani " na kuweza kuirahisishia jamii katika utatuzi wa changamoto zao "

Lakini sasa kama hawakuweza kugundua hata kengele .spekears .mick " hata mchanganyiko wa kupata cement " basi sioni haja au sababu ya mimi kuwaamini kwa sababu " naona wazi kuwa utume wao haukuwa na maana "haukuwa na maana ndio kwa sababu hizo rasilimali zote wanazo zitumia kuendeshea ibada " wamesubiri tafiti na gunduzi za watu ambao sio manabii ili waweze kuzigundua nawao wapate kuvitumia ..

Halafu mbaya zaidi bila haya wala aibu utakuta wanawasema vibaya wagunduzi hao " ...

Kwa muktadha huu manabii walipaswa kuwa hao waliogundua vitu mbali mbali " na sio hawa tunao aminishwa katika masuala ya dini /imani kwa sababu wao hakuna chamaana walicho kifanya zaidi ya kuwarithisha watu imani ambazo zimechangia kuleta ubaguzi na machafuko duniani

Mkuu. haiwezekani upate nafasi ya kuongea na mungu halafu ushindwe hata kumuomba akuelekeze namna ya kutengeneza kijiko .. taa .mwamvuli " gari" ndege " simu " etc halafu utake watu wakuamini .... watakao kuamini watakuwa ni majuha ...na sio vinginevyo ..

Haha mambo mengine yana chekesha sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom