Yajayo yanafurahisha, Jifunze hii taaluma itakusaidia

Leo asubuhi cloud FM wamealika mtaalamu kutoka BOT azungumzie Bitcoin and Cryptocurrency technology.

This Cryptocurrency and Bitcoin is the future.
 
Hii bitcoin ni namna nyingine ya kupiga hela.. Of course vituo vya habari huwa ni madalali.. kama vile tatu mzuka, biko nk.

Ukitaka kufanya investment yeyote, unatakiwa kufanya investment au kuwekeza kwenye kitu ambacho una control yako. Maelezo yote ya kupata ufahamu wa bitcoin, haikusaidii kuwa investor mzuri .... Watu wana hiari ya kuchagua kuingia katika mitego hii, ambayo inapigiwa upatu .
 
huyo mvette na hilo cigar lake ukimuangalia kwa makini utajua ni tapeli tu
 
huyo mvette na hilo cigar lake ukimuangalia kwa makini utajua ni tapeli tu
Ahahaha! Mkuu huyo kwenye background pic mwenye cigar ni Schwarzenegger aka commando John.

Don't worry! Ukiona inamake sense jifunze kwa wakati wako ukiona ni utapeli pita mbali but najua baada ya miaka miwili tukiwa hai utanielewa uzuri.
 
mshaambiwa hakuna utajiri simple namna hyo lkn mnakuwa hamuelewi bakhresa mwenyewe sasa hv anasherehekea anniversary ya 47 years kupata huo utajir alionao, mack zuckerberg mwenyewe imemkosti miaka 14 kufikia tajiri namba tano dunia, afu wewe unaleta huo upupu wa bitcoin eti unalala masikini unaamka tajiri, pole sana ushalizwa nenda ukalipizie kwa ndugu zako kijijini kule
 
Wewe ni mpuuzi hivyo sidhani kama kuna haja ya kukufungua macho..endelea kuwa kipofu!
 
Click hii link hapo chini kwa ajili ya kuexchange views and ideas juu ya Cryptocurrency issue kwenye group letu la WhatsApp..Bitcoin and all altcoins will be highly discussed.

Njooni tujadili kinaubaga juu ya taaluma hii adhimu ya Cryptocurrency. Bonyeza lonk hii hapa kufiia kilingeni. Forex /blockchain EA:
 
Naona ONTARIO ameamua kuja kivingine. Cha kushangaza kuna watu wataingia tena Mkenge!
 
Humble whatever ndo wewe huwa inanisumbua Fesibuku?
Mimi Sifanyagi hizo Mambo.
 
mkuu unaelezea vizuri sana, safi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…