Yajue baadhi ya mambo ya Upagani yaliyoingizwa na kufuatawa katika Ukristo.

Mnahangaika sana,ulizaliwa ukazikuta hizi taratibu utakufa utaziacha,fanya mambo yako
Hoja ya msingi hapa sio kuzaliwa/umezaliwa na kukuta nini, HAPANA!
Hoja hapa ni kuuishi UKWELI NA UHALISIA kama MUNGU alivyoagiza [kwa mujibu wa maandiko matakatifu].
 
Msabato, fata imani yako. Ukatoliki tuachie wenyewe, hujui hata moja ya hayo uliyoandika.
 
Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisifaa biblia warumi 1:28,
 
🚮
 
100% ya Uislamu [mafundisho yake]ni UPAGANI uliotungwa na MAKASISI wa Roman Catholic.
Yataje hayo mafundisho yaliyopo ndani ya uislam yanayofanana na mafundisho ya upagani kama hayo ya katika ukristo
Yataje
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Weka hapo tuyaone
 
Kwani Yesu mwenyewe amejipambanua kwamba yeye ni Nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…