Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
1. Eneo linaloitwa kavambughu.
Hapa tuliwapiga wambugu kwenye vita na eneo hili lipo mpaka leo.
2. Eneo linaloitwa Nkhoma ya mkwavi au fuvu la mmasai.
Hapa wamasai walituvamia ikapigwa vita kubwa tukawauwa wote tukashinda vita na eneo hili lingalipo mpaka leo.
3. Jiwe la mkumbavana.
Hili ni jiwe ambalo lipo mpaka leo ukizaa mtoto mwenye ulemavu au ambae meno anaota kuanzia juu bàsi mtoto huyo hupelekwa kwenye hilo jiwe kileleni na anawekewa chakula mbele kwenye ukingo wa kuangukia bàsi akisikia njaa akikifwata kile chakula hudondoka na kuporomoka kutoka futi zaidi ya mia mbili na kufariki. Eneo hilo lilikuwa na mifupa ya watoto mpaka miaka ya hivi karibuni.
Hapa tuliwapiga wambugu kwenye vita na eneo hili lipo mpaka leo.
2. Eneo linaloitwa Nkhoma ya mkwavi au fuvu la mmasai.
Hapa wamasai walituvamia ikapigwa vita kubwa tukawauwa wote tukashinda vita na eneo hili lingalipo mpaka leo.
3. Jiwe la mkumbavana.
Hili ni jiwe ambalo lipo mpaka leo ukizaa mtoto mwenye ulemavu au ambae meno anaota kuanzia juu bàsi mtoto huyo hupelekwa kwenye hilo jiwe kileleni na anawekewa chakula mbele kwenye ukingo wa kuangukia bàsi akisikia njaa akikifwata kile chakula hudondoka na kuporomoka kutoka futi zaidi ya mia mbili na kufariki. Eneo hilo lilikuwa na mifupa ya watoto mpaka miaka ya hivi karibuni.