Newzealand360
Member
- Aug 10, 2022
- 88
- 122
Moja ya Sheria ni idadi ya squad. Na idadi ya sub ambayo pia iliishaanza kutumika.
Kikubwa Sana ni faulo ya kushika Mpira. Hand to ball Ball to hand.
Ule Mpira bana wameweka mavitu. Referees wanambiwa TU faulu na electronic mechanical technology. Itakuwa balaa tusubiri tuone
Kikubwa Sana ni faulo ya kushika Mpira. Hand to ball Ball to hand.
Ule Mpira bana wameweka mavitu. Referees wanambiwa TU faulu na electronic mechanical technology. Itakuwa balaa tusubiri tuone