Yajue mabadiliko ya Sheria za soka kwa mara ya kwanza kutumika kwenye mashindano ya kombe la Dunia Qatar 2022 world cup tournament

Yajue mabadiliko ya Sheria za soka kwa mara ya kwanza kutumika kwenye mashindano ya kombe la Dunia Qatar 2022 world cup tournament

Newzealand360

Member
Joined
Aug 10, 2022
Posts
88
Reaction score
122
Moja ya Sheria ni idadi ya squad. Na idadi ya sub ambayo pia iliishaanza kutumika.

Kikubwa Sana ni faulo ya kushika Mpira. Hand to ball Ball to hand.
Ule Mpira bana wameweka mavitu. Referees wanambiwa TU faulu na electronic mechanical technology. Itakuwa balaa tusubiri tuone
 
Moja ya Sheria ni idadi ya squad. Na idadi ya sub ambayo pia iliishaanza kutumika.

Kikubwa Sana ni faulo ya kushika Mpira. Hand to ball Ball to hand.
Ule Mpira bana wameweka mavitu. Referees wanambiwa TU faulu na electronic mechanical technology. Itakuwa balaa tusubiri tuone
Sheria ni zile zile. Ila teke nolojia ndio imeboreshwa
 
Umeweka Bandiko

'ooh Yajue mabadiliko Ya Soka yatakayotumika Kwa Mara Ya Kwanza'

MTU anakuja mbio.... Badala Ya Kuyaweka hayo mabadiliko unaleta bra bra...!
Hishma Kitu cha Bure next time jitafakari... Kabla Ya andiko..
 
Back
Top Bottom