na kuna wengine wanasoma na bado wanapuuzia.Inatisha.
Lakini si kwenye vipodozi tu. Hata kwenye sekta zingine mambo ni hayo hayo tu.
Kwa mfano bidhaa za vyakula vilivyosindikwa vinavyotoka nchi za nje zipo nyingi tu ambazo huwa zimemaliza muda wake lakini bado huuzwa madukani.
Ni watu wachache sana ambao hujihangaisha kusoma tarehe ya mwisho wa ubora.
daaaah!!! sasa tufanyaje, tuache dodo? hapana kwakweli.
na kuna wengine wanasoma na bado wanapuuzia.
sasa lawyer ukileta info kama hizi inabidi utushauri tupake nini tuuachane na hivo vipodozi. au mtuelekeze kwa maspeshalist wa ngozi kabisaaa.
daaaah!!! sasa tufanyaje, tuache dodo? hapana kwakweli.
Inatisha.
Lakini si kwenye vipodozi tu. Hata kwenye sekta zingine mambo ni hayo hayo tu.
Kwa mfano bidhaa za vyakula vilivyosindikwa vinavyotoka nchi za nje zipo nyingi tu ambazo huwa zimemaliza muda wake lakini bado huuzwa madukani.
Ni watu wachache sana ambao hujihangaisha kusoma tarehe ya mwisho wa ubora.
Na wanja si ni kipodoz au?? Mi wanja siachi ng'ooooo
jicho shurti litiwe wanja shosti, wanja sunna. hakuna kuacha.
....huku wakifanya social media masturbation
Hihiii
Nasikia hii ndio habari ya mujini lolz
Na ingine inakuja kwa kasi cjui queen eliza mweeee..
ushamba mzigo
Mbona hata nyie wengi tuu asilimia 90 mnatumia
Huyo anayeandika gazeti nae utakuta anatumia sumu..km si ngozini kichwani...Anayetanganza nae vile vile
wanawake wanatafuta muonekanao mzuri kwa namna yeyote ile ili awavutie wanaume kama hujui endelea kushangaa
Hihiii
Nasikia hii ndio habari ya mujini lolz
Na ingine inakuja kwa kasi cjui queen eliza mweeee..
ushamba mzigo
No wonder anaongoza kwa uzuri duniani. Uso tuu unatupagawisha. Akiacha wazi kwingine je?
Huyu ukikutana nae anga fulani waweza kutoka nduki.