Yajue Magari 5 yanayoongoza kuuzwa bei ghali

Yajue Magari 5 yanayoongoza kuuzwa bei ghali

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,414
Reaction score
2,181
Bugatti la voiture noire, inatajwa kuwa ndiyo gari ya gharama kubwa kuliko gari zote duniani, ikiuzwa kwa Dola 19 milioni za Marekani sawa na Sh43.7 bilioni.

Bugati.jpg


Gari hiyo inayotengenezwa nchini Ufaransa, ina uwezo wa kufikia spidi 300 ndani ya sekunde 13.3 na ina uwezo wa kukimbia kilometa 465 kwa saa (Spidi).

Ukiachilia mbali Bugatti la voiture noire, gari ya pili kwa kuuzwa fedha ndefu ni Rolls-Royce Sweptail inayotengenezwa Uingereza ambayo inauzwa Dola 13 milioni Marekani sawa na Sh29.9 bilioni.

Rolls royce.jpg


Namba tatu ni Mercedes-benz may Bach Exelero, inayotengenezwa nchini Ujerumani, gharama yake ni Dola 8 milioni za Marekani sawa na Sh18.4 bilioni.

Mercedes benz.jpg


Namba nne ni gari aina ya Koenigsegg Ccxr Trevita inayotengenezwa nchini Swiden inayouzwa dola milioni 4.8 sawa na Sh11 bilioni.

coenigseg.jpg


Na katika orodha, namba tano inashikiliwa na gari aina ya Lamborghini Veneno inayouzwa Dola 4.5 milioni, sawa na Sh10.3 bilioni.Inatengenezwa Italy.

Lamborgin.jpg


Asilimia kubwa ya wateja wa gari hizi walisema, walianza kutumia gari za chini za bei nafuu,kisha utamu ukawakolea wa magari, wakawa wanauza gari moja,wanaongezea fedha na kununua gari la juu yake mpaka wakafikia malengo yao.

Kwa Ushauri bure wa magari Economic, bajeti ya milioni 4 hadi 6 wasiliana nasi:0713-039875
 
Bugatti ni next level, kuna jamaa asiyejulikana huko Zambia, alinunua Bugatti akaisafirisha kwa ndege ya kukodi, ilivyotua Zambia wananchi wakaanza kuandamana kutaka kufahamu ni nani huyo aliyenunua Bugatti anafanya shughuli gani na je analipa kodi za serikali? Hahahaha umaskini mbaya sana.

Sent using Fly in any Weather.
Yani jamaa aliua kabisa aisee
 
Bugatti ni next level, kuna jamaa asiyejulikana huko Zambia, alinunua Bugatti akaisafirisha kwa ndege ya kukodi, ilivyotua Zambia wananchi wakaanza kuandamana kutaka kufahamu ni nani huyo aliyenunua Bugatti anafanya shughuli gani na je analipa kodi za serikali? Hahahaha umaskini mbaya sana.

Sent using Fly in any Weather.
ni zaidi ya kilema umaskini
 
Bugatti la voiture noire, inatajwa kuwa ndiyo gari ya gharama kubwa kuliko gari zote duniani, ikiuzwa kwa Dola 19 milioni za Marekani sawa na Sh43.7 bilioni.

View attachment 1392861

Gari hiyo inayotengenezwa nchini Ufaransa, ina uwezo wa kufikia spidi 300 ndani ya sekunde 13.3 na ina uwezo wa kukimbia kilometa 465 kwa saa (Spidi).

Ukiachilia mbali Bugatti la voiture noire, gari ya pili kwa kuuzwa fedha ndefu ni Rolls-Royce Sweptail inayotengenezwa Uingereza ambayo inauzwa Dola 13 milioni Marekani sawa na Sh29.9 bilioni.

View attachment 1392862

Namba tatu ni Mercedes-benz may Bach Exelero, inayotengenezwa nchini Ujerumani, gharama yake ni Dola 8 milioni za Marekani sawa na Sh18.4 bilioni.

View attachment 1392863

Namba nne ni gari aina ya Koenigsegg Ccxr Trevita inayotengenezwa nchini Swiden inayouzwa dola milioni 4.8 sawa na Sh11 bilioni.

View attachment 1392864

Na katika orodha, namba tano inashikiliwa na gari aina ya Lamborghini Veneno inayouzwa Dola 4.5 milioni, sawa na Sh10.3 bilioni.Inatengenezwa Italy.

View attachment 1392866

Asilimia kubwa ya wateja wa gari hizi walisema, walianza kutumia gari za chini za bei nafuu,kisha utamu ukawakolea wa magari, wakawa wanauza gari moja,wanaongezea fedha na kununua gari la juu yake mpaka wakafikia malengo yao.

Kwa Ushauri bure wa magari Economic, bajeti ya milioni 4 hadi 6 wasiliana nasi:0713-039875
iyo maybach nzuri zaidi mno kwa road zetu kuliko izo gari nyingine
 
Gari za kimarekani zimekaa kibabe sana (Cadillac, chev, ford etc) gari za kazi kazi, wameachwa mbali kwenye ubunifu (Engineering)

Germany, Italy wapo vizuri sana kwenye utengenezaji wa magari makali, England na France wamekuja juu baada ya baadhi ya viwanda vyao vya magari kuingia ubia na viwanda vya magari ujerumani kama BMW, BENZ, VW.

Sent using Fly in any Weather.
1584682283045.png

Mizigo ya Kwa Trump hiyo...Majina kama The Hellcat..The Demon
 
Bugatti ni next level, kuna jamaa asiyejulikana huko Zambia, alinunua Bugatti akaisafirisha kwa ndege ya kukodi, ilivyotua Zambia wananchi wakaanza kuandamana kutaka kufahamu ni nani huyo aliyenunua Bugatti anafanya shughuli gani na je analipa kodi za serikali? Hahahaha umaskini mbaya sana.

Sent using Fly in any Weather.
Mpaka authorities wali mu arrest huyo jamaa mana dah wanalalamika eti wanakufa na njaa mtu ana push bugati umasikini ni mbaya sana, Masikini hafai ni mtu mbaya sana haamininiki na ni mnafiki wa kupindukia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mmarekan hana gari ata moja inayouzwa bei ghari?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Unajua kwenye designing na luxurious US bado sana Anaachwa mbali UK tu si kwenye Nguo, Cosmetics wala Magari ugopa sana upande wa luxury stuffs nchi hizi Italy,France,German na UK kwa mbali hata brands kubwa kama Prada,Guccci na Louis vuiton ziko katika hayo mataifa Upande wa gari sasa Ferrari yupo italy, VW german Porsche German, buggati yupo france na roll rolls Royce Mwingereza

US upande wa kazi kazi Gari yupo njema ana Cadillac, Chev, ford, Gmc, jeep na Hammer
 
Bugatti la voiture noire, inatajwa kuwa ndiyo gari ya gharama kubwa kuliko gari zote duniani, ikiuzwa kwa Dola 19 milioni za Marekani sawa na Sh43.7 bilioni.

View attachment 1392861

Gari hiyo inayotengenezwa nchini Ufaransa, ina uwezo wa kufikia spidi 300 ndani ya sekunde 13.3 na ina uwezo wa kukimbia kilometa 465 kwa saa (Spidi).

Ukiachilia mbali Bugatti la voiture noire, gari ya pili kwa kuuzwa fedha ndefu ni Rolls-Royce Sweptail inayotengenezwa Uingereza ambayo inauzwa Dola 13 milioni Marekani sawa na Sh29.9 bilioni.

View attachment 1392862

Namba tatu ni Mercedes-benz may Bach Exelero, inayotengenezwa nchini Ujerumani, gharama yake ni Dola 8 milioni za Marekani sawa na Sh18.4 bilioni.

View attachment 1392863

Namba nne ni gari aina ya Koenigsegg Ccxr Trevita inayotengenezwa nchini Swiden inayouzwa dola milioni 4.8 sawa na Sh11 bilioni.

View attachment 1392864

Na katika orodha, namba tano inashikiliwa na gari aina ya Lamborghini Veneno inayouzwa Dola 4.5 milioni, sawa na Sh10.3 bilioni.Inatengenezwa Italy.

View attachment 1392866

Asilimia kubwa ya wateja wa gari hizi walisema, walianza kutumia gari za chini za bei nafuu,kisha utamu ukawakolea wa magari, wakawa wanauza gari moja,wanaongezea fedha na kununua gari la juu yake mpaka wakafikia malengo yao.

Kwa Ushauri bure wa magari Economic, bajeti ya milioni 4 hadi 6 wasiliana nasi:0713-039875
Mmarekani hayupo top five

By the way iyo benz nyoko
 
Back
Top Bottom