Hela zinakuwasha?Mwenye uwelewa na Nissan Dualis, vipi gari hii ni nzuri kwa matumizi ya kawaida....kuhusu mafuta, vipuri, nk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela zinakuwasha?Mwenye uwelewa na Nissan Dualis, vipi gari hii ni nzuri kwa matumizi ya kawaida....kuhusu mafuta, vipuri, nk.
Hili had niriritupaPajero GDI
Nyundo muhimu kwenye ufundi
Ukishaona gari hupati spare zake original tambua mtengenezaji ameshalifuta kwenye kumbukumbu zake (limesha expire)Dah! Landrover 109 kila Sikh huwa inaumwa
Baada ya hizo kuisha kinatokea niniii mzeee maana naona kachajii kapo mwishooii...au ikiisha ndio unapaki gariii
Pole sana mkuu. kuna jamaa analo kafunga injini ya rav4.Freelander ina tatizo gani coz kuna mtu nimeshamlipa nusu bado nusu ili nichukue kitu.
Anaiuza 12M mi nilimwambia achukue 10 akakubali ila anasema engine ndo inashida but kanambia kuwa inaweza patikana for less than 2M.
Kwel kabisa mkuuu ila walio tunza ni wachache sana hadi leo hii wengi wao gari zimeishia kulala juu ya mawe...mzee ananipa story siku zimetoka yuko na jamaa yake wote wageni wa magari kutoka bandarini hadi lugalo jamaa anaendesha gia number 2 tu mzee ikabidi amuulize jamaa,vip garu haikimbii jamaa akajibu gari bado mpya mkuuu ndo maana haichanganyiIzo gari zilikuja mpya wanajeshi walikopeshwa miaka ya nyuma ivi,so haikuja mtumba so kukaa miaka 20 ni kawaida sana kwa gari iliyonunuliwa 0 km
Kwel kabisa mkuuu ila walio tunza ni wachache sana hadi leo hii wengi wao gari zimeishia kulala juu ya mawe...mzee ananipa story siku zimetoka yuko na jamaa yake wote wageni wa magari kutoka bandarini hadi lugalo jamaa anaendesha gia number 2 tu mzee ikabidi amuulize jamaa,vip garu haikimbii jamaa akajibu gari bado mpya mkuuu ndo maana haichanganyi
Mkuu una fundi mzuri???vipi purchasing power yako???wenzako tunayo haya huu mwaka wa tano full ac no kwere no what..pole!Nissan Xrail
Nitafutie hiyo, pajero tatizo lake ni dogo sana nitafutie iliyoharibika injini, body lisimamie kuchaOngezea Mitsubishi Pajero Mini!
Una sh ngapi? Ipo iliyoharibika gear boxNitafutie hiyo, pajero tatizo lake ni dogo sana nitafutie iliyoharibika injini, body lisimamie kucha
Inaitwa kitchen partyKuna Mitsubishi flani Kama spacio za zamani zilivuma miaka 2002
Janga la kitaifaNissan Xrail
Mimi nina Nissan Xtrail tangu 2012 na haijanisumbua zaidi ya tatizo lililotokana na uzembe wangu mwenyewe. Iko pouwaaa na ninaenjoy kila nikiwa nayoNissan Xrail