strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
mmmmhhh! hili nalo jina!
Nantombee ni salamu ya wamachame wanaumeMods wanaweza kuruhusu jina la design hiyo 'lisajiliwe' humu JF?
Hahaha mkuu vpJingalao
Jambilo
Hili jina Mkuu lina historia ndefu saaanaHaina Tatizo, ila nimetokea tu kulipenda. Najaribu kutafakari jinsi Robot la Matope linavyo locomote hata sipati picha..
Hilo ni neno la Kichaga wala sio TUSI ndugu yanguMods wanaweza kuruhusu jina la design hiyo 'lisajiliwe' humu JF?
mkuu pole sana kwa hilo. kichwa cha uzi kina vitu viwili: majina ya ajabuajabu na majina ya pekee. jina lako ni zuri sana na lipo ktk kipengele cha majina ya pekee. asante na hongeta kwa jina zuri la pekee.CHIKIRA MTABARI ni jina langu nilipewa na wazazi wangu sasa nashangaa unavyosema ni la ajabu ajabu! lina uajabu gani wewe mtoa uzi! Tena wewe mtoa post unitake radhi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kipindi cha masika.
Muulize Mshana Jr na Amavubi watakuambia jina langu ni la kabila ganimkuu pole sana kwa hilo. kichwa cha uzi kina vitu viwili: majina ya ajabuajabu na majina ya pekee. jina lako ni zuri sana na lipo ktk kipengele cha majina ya pekee. asante na hongeta kwa jina zuri la pekee.
Kama unaweza nipatia iyo historia, fanya hivyo kakaHili jina Mkuu lina historia ndefu saaana
kama avatar yako. duhNa wengine wana majina na avatar za ajabu ajabu hapa!
hili la ajabu kabisainama nikusweke
hahahahaaaaaaaaaaaa nimeshamfahamu huyo mtu aiseee nami nakumbuka alikuwa balaaa saanaKuna mmoja aliletaga thread mwaka 2013 akiomba ushauri eti akitembea makalio yake yanatikisika haswa na vijana wanampigia miluzi, kumbe ni mwanaume bwana.
Sasa kuna siku mwaka huo huo akafanya kosa, mod akaunganisha ID yake ya kike na ya kiume ambayo ni maarufu.
Huyu aliitwa giLesi aliyejaaliwa.