Yajue majina ya ajabuajabu/ya pekee ndani ya WANAJF

CHIKIRA MTABARI ni jina langu nilipewa na wazazi wangu sasa nashangaa unavyosema ni la ajabu ajabu! lina uajabu gani wewe mtoa uzi! Tena wewe mtoa post unitake radhi
 
CHIKIRA MTABARI ni jina langu nilipewa na wazazi wangu sasa nashangaa unavyosema ni la ajabu ajabu! lina uajabu gani wewe mtoa uzi! Tena wewe mtoa post unitake radhi
mkuu pole sana kwa hilo. kichwa cha uzi kina vitu viwili: majina ya ajabuajabu na majina ya pekee. jina lako ni zuri sana na lipo ktk kipengele cha majina ya pekee. asante na hongeta kwa jina zuri la pekee.
 
kipindi cha masika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mkuu pole sana kwa hilo. kichwa cha uzi kina vitu viwili: majina ya ajabuajabu na majina ya pekee. jina lako ni zuri sana na lipo ktk kipengele cha majina ya pekee. asante na hongeta kwa jina zuri la pekee.
Muulize Mshana Jr na Amavubi watakuambia jina langu ni la kabila gani
 
Na wengine wana majina na avatar za ajabu ajabu hapa!
 
hahahahaaaaaaaaaaaa nimeshamfahamu huyo mtu aiseee nami nakumbuka alikuwa balaaa saana
nawapenda sana mamods wanafanya kazi kweli waliweka wazi makitu yake hahahahahahaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…