ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
aliniachaga hoi yule! Eti amejaribu kuvaa taiti mbili mbili lakini wowowo zinacheza tu kwenye kipedo, kumbe ni dume bwana!hahahahaaaaaaaaaaaa nimeshamfahamu huyo mtu aiseee nami nakumbuka alikuwa balaaa saana
nawapenda sana mamods wanafanya kazi kweli waliweka wazi makitu yake hahahahahahaaaaaa
Lina tatizo gani hiyo maana yake kwa kichaga ni"habari ya asbh ndugu"Mods wanaweza kuruhusu jina la design hiyo 'lisajiliwe' humu JF?
Ni Tabu Ley...Rochereau
CanadaKuna mwingine aliitwa benokolongonongose sijui yupo siku hizi!
BUFAKuna majina ya pekee au ya ajabu kiaina humu jukwaani. naweka orodha hapa kisha mhusika akiona jina au ID yake aitike tujue yupo, unaweza kuongeza majina mengine ya ajabuajabu!
1. Uporo wa wali Ndondo
2. Kunguni wa Ulaya
3. Mhuni
4. Jambazi
5. Kaka Jambazi
6. Mikataba feki
7. Mkwepa kodi
8. Fisadi kuu
9. Nyani Ngabu
10. Chikira Mtibira
11. Bigbootylover
12. Robot la matope
13. Konda wa bodaboda
14. Babu wa Kambo
15. Kipara kipya
16. Jipu kubwa
17. Ongeza wengine wa ajabuajabu/wa pekee
kweli ya ajabu/ya pekeeBUFA
ibilisi
Babu wa Kambo
MANI
mostgala
mtu mzito
jichawi
duh! hadi nchiCanada
sure mkuu!Ekotike
Jambilo[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Eeeka MbeNantombee