Yajue majina ya ajabuajabu/ya pekee ndani ya WANAJF

hahahahaaaaaaaaaaaa nimeshamfahamu huyo mtu aiseee nami nakumbuka alikuwa balaaa saana
nawapenda sana mamods wanafanya kazi kweli waliweka wazi makitu yake hahahahahahaaaaaa
aliniachaga hoi yule! Eti amejaribu kuvaa taiti mbili mbili lakini wowowo zinacheza tu kwenye kipedo, kumbe ni dume bwana!
Nahisi kuna watu walimtongoza kabisa kwa kuvuta picha ya mzigo unaobanwa lakini unatikisika tu.
 
BUFA
ibilisi
Babu wa Kambo
MANI
mostgala
mtu mzito
jichawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…