Yajue majina ya ajabuajabu/ya pekee ndani ya WANAJF

mngetaja maeneo husika. pengine maeneo tofauti na salamu ziko tofauti japo zinafanana
Lugha ya makabila zaidi ya 120 yaliyopo nchini kwako unazifahamu zote ?? Haya hiyo salaam utaikuta wilaya ya Hai.
 

Kukumdogo na Uso wa nyoka, haya majina yananiacha hoi balaa.
 
ufyudhi. hili jina ukicheck na avatar yake ni balaa. mi nimecheka hadi nikaanguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…