Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Kweli wewe ni jingalaoLiko straight
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wewe ni jingalaoLiko straight
Lipo...Mods wanaweza kuruhusu jina la design hiyo 'lisajiliwe' humu JF?
Kwenu wapi?Kule kwetu hili ni tusi kubwa sana!
Lugha ya makabila zaidi ya 120 yaliyopo nchini kwako unazifahamu zote ?? Haya hiyo salaam utaikuta wilaya ya Hai.mngetaja maeneo husika. pengine maeneo tofauti na salamu ziko tofauti japo zinafanana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata hili lako nililisahau tu, ni zaidi ya maajabu
khaaaaa! mpaka pumbulako yumo? unaweza kuta kwa kikwao manake shikamoo
Kuna majina ya pekee au ya ajabu kiaina humu jukwaani. naweka orodha hapa kisha mhusika akiona jina au ID yake aitike tujue yupo, unaweza kuongeza majina mengine ya ajabuajabu!
1. Uporo wa wali Ndondo
2. Kunguni wa Ulaya
3. Mhuni
4. Jambazi
5. Kaka Jambazi
6. Mikataba feki
7. Mkwepa kodi
8. Fisadi kuu
9. Nyani Ngabu
10. Chikira Mtibira
11. Bigbootylover
12. Robot la matope
13. Konda wa bodaboda
14. Babu wa Kambo
15. Kipara kipya
16. Jipu kubwa
17. Ongeza wengine wa ajabuajabu/wa pekee
ahahahahahahaAzikala ngulukiz
Huku kwetu ni salamu ya Heshima kubwa kwa mwanaume rika la Baba yako.Kule kwetu hili ni tusi kubwa sana!
hata hili lako nililisahau tu, ni zaidi ya maajabu