Rosalia, naomba unieleweshe kwa hapo, very interestingMbee...mtoto wa kwanza wa kiume.
Lelo...mtoto wa pili wa kiume.
Sir..Saa... Mtoto wa pili wa kiume pia.
Rosalia lazima apewe mtoto wa kwanza wa kiume.
Kwa kweliKuwa mchagga ni sawa na kuwa na degree ya biashara!! Hata kama hujawahi kuingia darasani!! Nashukuru Mungu sana kuwa mchagga!! Karibuni Moshi mji msafi kuliko yote Tanzania!!
MEKU =MZEE.maana ya MEKU ni nini?
Babumaana ya MEKU ni nini?
Hayo mengine ya kimeru zaidi ila wachaga wa machame,siha wanaendana majina hayo na wameru sanaRashoseolokyaeli = Acha vyote mwangukie Mungu
Awumsuri = utajiri
Sia=Rehema
Eliangringa=?
Monyaichi=?
Aisa=?
Iche=?
Anande=?
Hayo ya chini kama kuna mtu anajua maana yake, Asante sana ni ya upande wa machame
Ndenga ni JangaNdenga===Probability of (getting or loosing)
Sia = FurahaRashoseolokyaeli = Acha vyote mwangukie Mungu
Awumsuri = utajiri
Sia=Rehema
Eliangringa=?
Monyaichi=?
Aisa=?
Iche=?
Anande=?
Hayo ya chini kama kuna mtu anajua maana yake, Asante sana ni ya upande wa machame
Lekashingo ?Sia = Furaha
Eliangiringa = Mungu anilinda
Monyaichi= Yeye anajua
Aisaa= wakati ni huu
NkonasaaTafsir yako yote imetoka
Kwa wakibosho,machame
Asante sanaSia = Furaha
Eliangiringa = Mungu anilinda
Monyaichi= Yeye anajua
Aisaa= wakati ni huu
Eliananyi = ?Eliamani????