Yajue majina ya Kinyakusya na maana zake

mwakibashite-kijana mwizi wa vyeti na alipata faf faf fa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji26] [emoji26] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] thank uu
 
Tunsume - tumuombe Mungu
Tumpale - tumsifu Mungu

Wenye.majina zaidi watiririke hapa
Naruhusu corrections
Edited*
Baadhi ya majina ya kinyakyusa na maana yake

Suma- Omba
Mboka- Niokoe/nisaidie(Eeh Mungu)
Lusekelo- Furaha
Kiswigu- Mshangao
Aliko- Alikuwepo(Neno/Mungu)
Atupele- Ametupa(Mungu)
Tupokigwe-Tumeokolewa/tumesaidiwa/tumekombolewa (Bwana Yesu)
Atuganile- Anatupenda(Mungu)
Lumuli- Nuru
Lusako- Bahati
Nsajigwa- Mbarikiwa
Gwandumi- Malaika/Mpeleka taarifa
Gwamaka- Mwenye nguvu/mamlaka(Mungu)
Mponjoli- Mtakatifu(Bwana Yesu/Mungu)
Mororo- Mnyenyekevu(Mungu)
Tuntufye- Tumsifu(Bwana Yesu/Mungu)
Tunsume- Tumuombe(Mungu)
Lugano- Upendo
Alinanuswe- Yu pamoja nasi(Mungu)
Lusajo- Baraka
Ipyana- Neema(Ya Mungu)
Kisa- Huruma
Bupe- Ukarimu
Tumpale- Tumsifu kwa kumuinua(Mungu)
Ikwisa- Anakuja(Bwana Yesu)
Isakwisa-Atakuja(Bwana Yesu)
Bukulumba- Ukuu wa mamlaka
Mpeli- Mpaji/mtoaji (Mungu)
Anyigulile- Amenifungulia(Mungu)
Gwakisa-Huruma(Mungu wa)
Mpoki- Mkombozi/Mwokozi (Bwana Yesu)
 
Mi nataka kujua, tutufye, mwakibolwa, mwakipesile, mwakitalima, mwaitege, mwanesongole, mwaisabula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…