Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

TZ ina makabila 129 yaliyo hai ni 128 na 1 halimeshatoweka au li karibu kutoweka kwa kukosa wazungumzaji wake


8. Wafipa
  • nkoswe
  • mpambwe
  • khamsini
  • mwanakatwe
  • nswima
  • mzindakaya
  • simbakavu
  • kagosha
  • mwananzila
  • mwanachifunda
  • sichone

Wafipa ongeza Mambosasa
 
Umekusudia Makabila ya Tanzania au Tanganyika?
 
 
Watu wameenda kufufua uzi kuna wadau kama preta sijui amepotelea wapi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji134][emoji134]
Eti bachikeli!!!
 
Du! Hatari aana mzee
 
Wahaya
Rutashubanyuma
Kokubanzibwa
Kokohumuliliza
Kagemuro
Muganyizi
Mulokozi
Karumna
Kaiza
Byabachuezi
Rutashobya
Kasenene
Kamugisha
Ntangeki
Rushoke
Ngaiza
Rutabanzibwa
Mkunguru
Magezi
Mujuni


 
WACHAGA
Lema
Mbowe
Urono
Uromi
Urassa
Mmari
Masawe
Sawi
Mmeri
Temba
Kimaria
Kimaro
Tairo
Jairo
Kidoo
Tesha
Lesha
Shonga
Mramba
Kisanga
Wasukuma...
Mabula
Masanja
Magembe
Masunga
...........
endeleeeni ma Ngosha the Don King
 
1:WAJITA
Nyasatu
Nyanyama
Rukonge
Nyamkubhi
Kumbati
Makuna
Maturi
Matubha
Nyambofu
Nyangeta
Nyafita
Nyabira
Nyangeta
Nyabhuruma
Nyakwaya
Nyandaro
Nyafungo
Muryaga
Mugeta
Bugingo
Ndilo
Kayora
Bwire
Muswakilo
Kasoga
Nyanguri
Malima
Nyamalima
Kubhoja
Muyengi
Muyenjwa
Muhongo
Masaju
Biswaro
Mwijarubi
Nyakwesi
Nyangeta
Nyambofu
Magiri
Magoti
Kuyenga
Mafwili
Magoma
Kayumba
Bhukori
Manjebe
Kumbati
Kusorwa
Mjora
Maingu
Manyasi
Kanyasi
Manyasi
Nyaja
Makale
Katondo
Bhuriro
Kanyige
Makorere
Mbojwa
Malindimura
Mkolee
Magesa
Nyega
Nyandalo
Gamba
Nyang'ombe
Nyamandege
Biseko
Mjubheri
Kagina
Magina
Mayamba
Bega
Bhusigara
Mainya
Nyaksirya
Kasonde
Bunyinyiga
Tamka
Mgeta
Rwambali
Mwijarubi
Gimasa
Maijo
Nyamande
Maingu
Majinge
Manyamba
Mgana
Chirangi
Mtaragara
Majura
Magafu
Mijinja
Kwaraga
Malima
Bhuji
Tongora
Kaunda
Nyamatoto
Wandwi
Maringa
Wanjara
Mujo
Lusingiri
Masingiri
Butemire

2:WAJARUO
Ongoro
Kuja
Oruenyi
Orwenya
Owenya
Ajwang'i
Ojuang'i
Obembee
Ngegee
Matikuu
Kebe
Omondi
Wanga
Girado
Ongito
Adongo
Odongo
Msenya
Oginga
Odinga
Jaramogi
Odemba
Akuti
Amolo
Atieno
Anyanga
Omenda
Ayoyi
Mijoro
Omindo
Obure
Deya
Kasanda
Awiti
Owiti
Adeki

3: WAPARE
Muhando
Msuya
Bandusi
Mugonja
Mkojera
Madegesho
Mbando

4:WASUKUMA
LuMatiko
Gitu
Lari
Mayaya
Masanja
Shiiwa
Ng'waru
Nkuye
Ngonera
Mazuge
Henga
Maganga
Masalu
Kaswaka
Mwaru
Magufuri
Marulu
Mabeyo
Kishimba
Makonda
Bashite
Makani
Mashinji
Kasheku
Kitwanga
Mabula


5:WAKURYA
Mwita
Marwa
Chacha
Kyanzi
Wambura
Magori
Ghati
Mtwale
Kichere
Muhere
Kilaryo
Isamuyo
Gorochoni
Biseko
Matiko
Kyoto
Maranya
Webiro
Mnamka
Chile
Mang'iti
Kitabhure
Nyakorema
Chikungu
Tengure
Nyaisa
Sangai
Sanguro
Bhoke
Muniko
Mwera
Mtenya
Tiro
Manyinyi
Makanya
Maganya
Tabhuro
Nyagimoreti
Robhi
Matinde
Wangwe
Wegesa
Saguta
Heche
Kyang'ombe
Mahende
Mwara
Webiro
Mkoba
Masirori
Matutu
Nyambari
Nyangwine

6:MAASAI
Ngoyayi
Moringe
Sokoine
Olemtundi
Lowasa
Lendisa
Sironga
Moleli
Kivuyo
Lengai
Soikani
Lenganasa
Olesendeka
Turwayi
Kuneyi
Werema
Owerema
Marelo
Golio
 
Senzota na mwanyika njombe na iringa..
 
Hapo umechanganya makabila zaidi ya moja
Wangoni, wamatengo, wandendeule, wanyasa, wamanda,.n.k yote kutoka mkoa mmoja
 
Bambo chimpoto cha kwako?
Panyambiki pa matengo bambo.
well said mkuu,hata mimi familia yangu yenye ukoo wa kina ndonde na mpangala kiasili ni wa maeneo hayo na hata lugha tunazozungumza tukikutana ktk shughuli zetu za kifamilia huku mijini ni pure kimpoto.mfano neno upwaghaa woo=unasemaje.
 
Uchengwili bambo..
Kimpoto kina lafudhi zinazotaka kushabihiana na kimatengo, bibi yangu huaniambia wampoto ni wamatengo Wa mwambao Wa ziwa hata majina yanashabihiana ya wampoto na wamatengo.
 
Kwawakurya, majina matatu ya mwanzo ninmajina ya asili, huwa tunasema jina la kuzaliwa (katika kila familia lazima utakutana na mojawapo ya hayo majina) jina matiko (sio matiku kama ulivyoandika) linamaanisha mtu aliyezaliwa usiku (kwakiswahili tungeweza kusema chausiku) wambura ni jina linalomaanisha mtu alizaliwa msimu wa mvua (mwamvua)
Nasikitika tu sijaona jina la ukoo wetu 😭😭😭
 
Masaini kuna mgawanyo wa aina kuu 2 kwenye kabila lote. Kwanza kuna 'sub-division' na pia kuna koo. Subdivions "iloshon" ni

1.Keekonyokie,
2. Damat
3. Purko,
4. Wuasinkishu
5. Siria,
6. Laitayiok
7. Loitai
8. Kisonko
9. Matapato,
10. Dalalekutuk
11. Loodokolani
12. Kaputiei
13. Moitanik
14. Ilkirasha
15. Samburu
16. ILchamus
17. Laikipia
18. Loitokitoki
19. Larusa
20. Salei
21. Sirinket
22. Parakuyo.

Idadi kubwa ya hizo subdivision wanaishi Kenya ila TZ wapo Salei, kisonko, loitai, parakuyo, sirinketi na larusa (waarusha)

Koo nazo ni:-

Il-mollelian
Il-aiser
Il-mamasita
Il-taarosero
Il-makesen
Il-lukumai


ll isomeke il.
 
Shbaughel0

Shewali

Sheubwabwa

Shekitombi

Shehiza

Shehoza

Nadhan na Shetani pia ni ndugu yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…