ommymbwambo
Senior Member
- Mar 25, 2014
- 192
- 66
Watani wangu wachaga ndizi ya kuiva inaitwa Makunduu,wakibosho salamu yao ni Nantombee ,pia Ukoo wa mboro upo na Rombo kuna kijiji kinaitwa Kiboro na kibosho kipo kijiji kinaitwa Boro.kazi kwelikweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watani wangu wachaga ndizi ya kuiva inaitwa Makunduu,wakibosho salamu yao ni Nantombee ,pia Ukoo wa mboro upo na Rombo kuna kijiji kinaitwa Kiboro na kibosho kipo kijiji kinaitwa Boro.kazi kwelikweli
Watani wangu wachaga ndizi ya kuiva inaitwa Makunduu,wakibosho salamu yao ni Nantombee ,pia Ukoo wa mboro upo na Rombo kuna kijiji kinaitwa Kiboro na kibosho kipo kijiji kinaitwa Boro.kazi kwelikweli
mkuu tafsida itumike dah!
Nasikia 'wagoni wa kuzini' waliwahi kuandamana kupinga serikali kuwachagulia majina ya wanyama.
Rombo kuna Ukoo wa Mboro..
Hizo sio koo za wahaya, na ukienda uhayani mara nyingi watu hawatumii majina ya koo zao ila majina yao ya kimila wanayopewa utotoni. Ni Rugaimukamu wachache mno ambao wanaundugu wowote. Baadhi ya koo za wahaya ninazozifahamu ni:
Hinda
Nkango