Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

Wanyamwanga.
Sinkala
Siwale
Sikaonga
Mjenda
 
kwa wachaga hapo kuna
matemba
shayo
shao
njiro
 
jamani mbona WAKINGA hawajulikani kwa nini?hili kabila watu wanalisahau kabisa kwa nini?
Hilo kabila zamani lilichukuliwa kuwa ni la washamba kama ambavyo wachaga wa kishumundu wanavyochukuliwa. Lakini ni kabila lililofanyajuhudi kubwa sana za kujiondoa kwenye hiyo hali kwa kujiingiza kwenye biashara na sasa wameuteka mji wa Iringa ndio matajiri wa pale Iringa. Sasa hivi wameisha itawala Karikoo kibiashara. Ni kabila la watu wakimya wasiopenda makuu hata ukiwadharau wao hucheka tu. Wao sio kama wahehe ambao ukimdharau au kumdharirisha tu anachukua kamba na kwenda kujinyonga. Kwa upande wa wachaga wa kishumundu wao kutokana na kudharaulika sana na wachaga wenzao kuwa wao ni washamba, waliamua kupiga shule sana ili kuwatoa kwenye hiyo hali ya kunyanyasika. Kwa sasa wao ndio wasomi wa hali ya juu na wameshika nafasi mbali mbali nyeti zinazohitaji elimu kubwa kama sheria, na mambo ya kimataifa. Nao si wakorofi kama walivyo wakinga! Historia inaonesha kuwa kila mkoa unakuwa na kabila moja au ukoo mmoja ambao hudharaulika lakini hatimaye kabila hilo au ukoo huibuka kidedea na kutawala waliokuwa wakiwadharau. Kama kuna mifano toka mikoa au wilaya mbali mbali endeleeni kuitoa .......
 
Zijue koo za Wairaqw zilitokana na makabila mengine:

Hhay-Karera, Hhay-Mahu, Hhay-Modaha, Hhay-Naman, Hhay-Tsuhhay
Hhay-/Amu, Hhay-Massay, Hhay- Hariohay, Hhay-Harihhindo
Hhay-/Ane, Hhay-Male,Hhay, Matia
Hhay-Bo/a, Hhay-Lolo, Hhay-Lawi
Hhay-Tsakahara, Hhay-Karama, Hhay-Gurti, Hhay-Panga, Hhay-Fara/ay, Hhay-Kirway
Hhay-Manda, (Manda do Bayo)
Hhay-Sule
- Barite,
- Batir-Tsere,
- Batla/ite.
- Bambare
- Gudum
- Habambi
- Tlak/ari,
- Tlawi,
- Mabe,
- Madangi
- Maqway
- Hhuutlemi,
- Wal’a

Koo nyingine


1. Hhay-Amo
2. Hhay-Ahham
3. Hhay-Axweso
4. Hhay-/alaay
5. Hhay-/awari
6. Hhay-Balohho’
7. Hhay-Baqari
8. Hhay-Baynit
9. Hhay-Bee
10. Hhay-Be/i
11. Hhay-Bi/a
12. Hhay-Buay
13. Hhay-Buhha
14. Hhay-Buxay
15. Hhay-Daqaro
16. Hhay-Dale/i
17. Hhay-Diyamay
18. Hhay-Duwe
19. Hhay-/Etlawe
20. Hhay-Fiso’o
21. Hhay-Ga/are
22. Hhay-Ge/ay
23. Hhay-Geefi
24. Hhay-Gwaha
25. Hhay-Gwalo
26. Hhay-Gwande/amo
27. Hhay-Gwasma
28. Hhay-Gwau
29. Hhay-Ha/ali
30. Hhay-Hhari
31. Hhay-Hharmi
32. Hhay-Hhayuma
33. Hhay-Ilakwahhi
34. Hhay-Isa/ay
35. Hhay-Karengi
36. Hhay-Lori au Hhay-Slahhay
37. Hhay-Mafa
38. Hhay-Mao
39. Hhay-Masangu
40. Hhay-Na/ali
41. Hhay-Na/ano
42. Hhay-Nakei
43. Hhay-Natse
44. Hhay-Naxi
45. Hhay-Ombay
46. Hhay-Pareso
47. Hhay-Pisi
48. Hhay-Qaday
49. Hhay-Qaymo
50. Hhay-Raantsim
51. Hhay-Rahhi
52. Hhay-Rangi
53. Hhay-Rohho
54. Hhay-Samaytu
55. Hhay-Sang’ka
56. Hhay-Slahhamay
57. Hhay-Slangay
58. Hhay-Sleegeray
59. Hhay-Sumawe
60. Hhay-Sukum
61. Hhay-Tango
62. Hhay-Tipe
63. Hhay-Tla/e
64. Hhay-Tligay
65. Hhay-Tlang’ka
66. Hhay-Tlohhay
67. Hhay-Tsaqyo
68. Hhay-Tsere
69. Hhay-Tsi’i
70. Hhay-Tsoray
71. Hhay-Umbu
72. Hhay-Wa/ari
73. Hhay-Xaday
74. Hhay-Yamay

Je, kuna ukoo umeachwa?
 
Si sahihi. Wanyasa hasa kutoka Mbamba Bay kuelekea kusini hadi Malawi si Wangoni. Na lugha yao ni tofauti kabisa na Kimanda au Kingoni cha Songea,Malawi au Msumbiji. Watu wengi hupenda kujumuisha watu wote wa Ruvuma kuwa ni Wangoni. Na hii si sahihi. kuna makabila mbalimbali, lugha tofauti, historia tofauti, nk. Kuna Wanindi, Wamatengo, Wamanda, Wandendeule, Wampoto, Wanyanja.
Haya nisemayo hayatokani na folk myths.
OO
....Ndg yangu Wanyasa ni Wangoni waliokimbilia Ziwani mara baada ya kupigana vita wenyewe kwa wenyewe..,.Kwa msaada wa NGONYANI MWASI MCHAPI.
 
Wamatengo:
Hyera
Ndunguru
Kapinga
Ndunguru

Wandendeule
Nikuli
Nihuka
Nilongo
Mhowela
ponera
Ngonyani
Chowo
Geho
 
Hii inasaidia nini? Historia au utalii?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
WAMAHANJI:1. MVELLA2. KYANDO3. SIGALLA4. MBOGELA5. KUSILUKA6. NKUSA7. Nsemwa8. Luvanda WAKINGA:1. SANGA2. MAHENGE3. KILUSWA5. LWILA6. ILOMO7. MBILING'I8. KYENGULA9. KYAVULA10. NYALUKE11. NYAKONZO12. NKWAMA13. PELLA
 
WAMAHANJI:
1. MVELLA
2. KYANDO
3. SIGALLA
4. MBOGELA
5. KUSILUKA
6. NKUSA
7. Nsemwa
8. Luvanda
WAKINGA:
1. SANGA
2. MAHENGE
3. KILUSWA
5. LWILA
6. ILOMO
7. MBILING'I
8. KYENGULA
9. KYAVULA
10. NYALUKE
11. NYAKONZO
12. NKWAMA
13. PELLA
14. NTULLO
15. SIVALATSE
 
WAZIGUA
Mhando
Semhando
Semkiwa
Kigoda
Mhandeni
Samhandeni
Nkondokaya
Mndolwa
Mbelwa
Kabelwa
 
Back
Top Bottom