Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh!! bambo hapo kwenye red nahisi kama siyo kweli..otherwise itabidi nirudi tena kwa bibi yangu mwenye 90yrs anisimulie upya yale masumulizi yake ya asili ya wanyasa.....Ndg yangu Wanyasa ni Wangoni waliokimbilia Ziwani mara baada ya kupigana vita wenyewe kwa wenyewe..,.Kwa msaada wa NGONYANI MWASI MCHAPI.
fafanua mkuu.tumekuja juzi?!!Jamani Wangoni msiwaweke hao si Watanzania, wam,ekuja Juzi tu.
well said mkuu,hata mimi familia yangu yenye ukoo wa kina ndonde na mpangala kiasili ni wa maeneo hayo na hata lugha tunazozungumza tukikutana ktk shughuli zetu za kifamilia huku mijini ni pure kimpoto.mfano neno upwaghaa woo=unasemaje.Wanyasa=wanyanja yaani ni lugha tu hapo wamanda ni jamii zilezile za kinyanja zinapatikana zambia,tz,nsumbiji,malawi na kuna eneo kule sauzi kwa madiba mimi mama yangu ni mpoto kilugha chetu kinaitwa kimpoto kina tofauti kidogo na kimanda na pia kina tofauti na kinyasa ambacho ni kinyanja kinachoongelewa malawi,zambia, na msumbiji kidogo ila kimpoto kinaongelewa na jamii fulani kule malawi pia wampoto wanapatikana kuanzia mbambabay (ku-mbamba)hadi lundumati. Wale ndo wanacheza ngoma zinaitwa kioda,mganda,lindeku na madogori kama ya wazaram
1. WAGOGO
Mazengo
Nzoboyoyo
Ngobito
Mgongo
Magimbi
Mbumi
Ndugai
Chigoji
Muhumpha
Chitemo
Chitema
Matonya
Manyelezi
Mapuga
Malugu
Chamuhehne
Pelezi
Mchiwa
Malole
Ndejembi
Mando
Chiwande
Chilongani
Chilagane
2. WARANGI
Nuda
Churah
Ntunduma
Sendeu
Idowa
3. WAASI
Mwiru
Mwirwa
Nuddah
4.WAKAGURU
Jaffu
Chilewa
Semwenda
Mnyagatwa
Mbuche
5.WAZIGUA
Lumo
Malika
Dogoli
Seuta
Kihange
Madebe
Kusaka
Bero
Mhando
Bwanguzo
Kigoda
Mbuguni
Hoza
Mndeli
6.WAPARE
Naidhijwa
Mbaga
Ombeni
Na warangi wamesahaulika,Issaka,Ntisi,Kijuu,Sambala,Foka,Nyanganyi,Lubuva,Mkwata,Kova,Mvula,Majala,Mnonu,Sare,Bimbiri,Ndwata,Massengi,Saburijamani mbona WAKINGA hawajulikani kwa nini?hili kabila watu wanalisahau kabisa kwa nini?
Hizo sio koo za wahaya, na ukienda uhayani mara nyingi watu hawatumii majina ya koo zao ila majina yao ya kimila wanayopewa utotoni. Ni Rugaimukamu wachache mno ambao wanaundugu wowote. Baadhi ya koo za wahaya ninazozifahamu ni:
Hinda
Nkango
Ndio Maana yake....
Samaki ndio ana Pande Mbili na zote Huliwa...
Kuna Kabila la Wadaigoni
1. Madenge
2.Kipepe
3.Meko
4.Ndumilakuwili
5.Kobelo
6.Sukununu
7.Lodilofa
8.BobMazishi
9.BabuSani
10.Sokomoko
11.kifimbocheza
12.Pimbi
13.
duh hadi shetani???
15. Wamakonde
•Bachikeli
•Chumuni
•Chilingi
•Mutoka
•Nyumba
•Chimu
- Kolugeti
- Nkapa
- Vodakomu