Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

Kuna bwana mmoja anakwenda kwa jina la David Shaha***a yaani namaanisha zile mbegu za kiume sijui ni ukoo gani huu sasa yeye pale kazini kwake kaamu kujiita David Shahawi ili kupotezea kwakua kulitamka ni aibu! Nitafurahi sana kujua huo ni ukoo gani.
 
Majina mengi, kama sio yote, ya koo za kisambaa yanaanza na She- na Sio Se- kama wengne wanavyojitangaza au wewe ulivyoandika hapo juu. She maana yake ni kama kusema (Decendant) Wa-.
Mfano
.Shemghanga na sio Semganga (mghanga ni msamiati wa kisambaa Mganga)
.Sheshui.
.Shemhando (sio Semhando)
.Shekanga
.Shemnghoma (sio sahihi kusema Shemngoma)
.Shekimwei (sio Shekimweli)
.Shemshashu
.Shenghawa.

Hakuna Shetani kama mpumbavu mmoja alivyo orodhesha hapo juu.

Wasambaa wengi ambao majina ya koo zao kwa asili kabisa yanaanza na She- wanaireplace hyo She- (kibantu) na Se- (ambayo sio kibantu). Ni upotoshaji, na ni ujinga.
thanks kiongozi
 
WASAMBAA!
shemweta
shekilango
sheshui
mtunguja
shelukindo
shembilu
mbilu
kaniki
nghanileka
kaoneka
sheshunda
kanyawana
shemdoe
shemkaa nk.
 
Tumekusoma Mkuu;

Labda itakuwa vyema ukitaja hizo koo. Lakini maana halisi tulikuwa tunapenda tujue SURNAMES za Kijadi.

Kwa anayeweza, hata tukiambiwa maana ya majina inafaa.

Kwa Wahaya:
Mulokozi=Ni mkombozi katika hiyo familia
Kamuhabwa=Mzazi anakuwa hana ukahika na huyo mtoto kama kweli ni wake(Wa kike anaitwa KOKUHABWA)
Mjuni=Amezailiwa kuisaidia hiyo familia
Kamazima=Yaani ni wa ukweli
Byabato=Ni mtoto aliyezaliwa mkiwa vijana bibi na bwana
Kwa maana nyingine wahaya wanaita majina kutoka na tukio fulani katika familia yao.
 
Wachaga: Shirima, Laswai, Ngowi, Ngoo, Ngooh, Mrina, Mremi, Minja, Utou, Urassa, Ulomi, Salema, Salemi, Tairo, Asenga, Macha, Mmasi, Assey, Mrina, Lamwai, Lyaruu, Lyamuya, Ushaki, Mashele, Mshanga, Mmanda, Merinyo, Kinabo, Mbowe, Kitilya, Mlay, Mamseri, na wengineo ENDELEA
 
QUOTE=EddyBoy15;854680]jamani mbona WAKINGA hawajulikani kwa nini?hili kabila watu wanalisahau kabisa kwa nini?[/QU

mbona wanasikika sana hawa matajiri wa tanzania...k.koo yote yao na ukienda mijini kama mbeya na iringa,songea ndo wanaoendeleza miji hawa...hahahaha ukoo za wakinga nizijuazo....
  • ilomo
  • mbilinyi
  • mfugale
  • kyando
  • tunsume
  • ntahena
  • mbogela
  • chaula
  • mbwilo
  • sambula
  • tweve
  • mahenge
  • nkusa
  • ngogo
  • kyavula
  • msigwa
  • mvella
  • kusiluka
wahehe
  • nyaulingo
  • sosovele
 
Wana JF;

Inasemekana Tanzania ina Makabila 126 na katika makabila haya kuna Koo au majina mbalimbali. Je tunaweza kusaidiana kutaja majina haya ya Ukoo au makabila yaliyo Common?

Majina ni kama ufuatavyo:

Update No. 2


1. Wachagga
  • Massawe
  • Mushi
  • Mosha
  • Temu
  • Mtei
  • Kimaro
  • Kimario
  • Mosha
  • Marealle
  • Lyimo
  • Chuwa
  • Mallya
  • Kisaka
  • Komu
  • Mchau
  • Silayo
  • Makundi
  • Mboro
  • Sangawe
  • Tafadhali endelea . . .
2. Wahaya:
  • Rugaimukamu
  • Rutakyamirwa
  • Rutabanzibwa
  • Tafadhali Endelea
3. Wanyakyusa
  • Tuntufye
  • Mwakyusa
  • Mwakalebela
  • Ntitu
  • Mwakosya
  • Andongolile
  • Bhongwenda
  • Mmasyanju
  • Anyasime
  • Akasopo
  • Mwamfupe
  • Mwafwetelele
  • Mwangafi
  • Tujhobepo
  • Mwasongwe
  • Mwakatimbo
  • Mwamfupe
  • Mwaiapaja
  • Mwaisaka
  • Mwakamela
  • Mwanjelwa
  • Mwakilasa
  • Mwasakafyuka
  • Mwakyusa
  • Mwakatumbula
  • Mwasubila
  • Mwankenja
  • Mwakatundu
  • Mwakalinga[/COLOR]
    [*]Mwakyembe
    [*]Mwakyambiki
    [*]Mwaipasi
    [*]Mwakapugi
    [*]Mwaisemba
    [*]Mwandemani
    [*]Mwakoba
    [*]Mwakajinga
    [*]Mwanguku
    [*]Mwalwisi
    [*]Mwalupindi
    [*]Mwamugobole
    [*]Mwankemwa
    [*]Tafadhali endeleza
4. Wangoni
  • soko
  • moyo
  • nguruwe
  • mbuzi
  • fusi
  • nyoni
  • Ndunguru
  • tembo
  • njovu
  • Komba
  • Mapunda
  • Gama
  • Mpambalioto
  • Songea
  • Mbano
  • Mtazama
  • Maseko
  • Zwangedaba
  • Mpezeni
  • Endeleza tafadhali . . .
5. Wajaluo
  • Otieno
  • Onditi
  • Omolo
  • Owino
  • Omondi
  • Ojwang'
  • Osodo
  • Odhiambo
  • Okinyi
  • Odipo
  • Ochuodho
  • Ondiek
  • Onyango
  • Otieno
  • Oludo
  • Okeyo
  • Oluoch
  • nk
6. Wakurya
  • Chacha
  • Mwita
  • Marwa
  • Matiku
  • Wambura
  • Nyarukamu
  • nk
7. Wasambaa
  • Semhando
  • Shelukindo
  • nk

8. Wasukuma...
  • Mabula
  • Masanja
  • Magembe
  • Masunga
  • Singiri
8. Wafipa
  • nkoswe
  • mpambwe
  • khamsini
  • mwanakatwe
  • nswima
  • mzindakaya
  • simbakavu
  • kagosha
  • mwananzila
  • mwanachifunda
  • sichone
  • Endeleza tafadhali
9. Wanyasa
  • komba
  • ndomba
  • nchimbi
  • ndunguru
  • kumburu
  • nkondola
  • kanjolonga
9. Wamatengo
  • Komba

10. Wakinga
  • Chande
  • Sanga
  • Msigwa
  • Fungo

11. Wapare
  • Mbwambo
  • Mkwizu
  • Msuya
  • Mshana
  • Msangi
  • Twazihirwa
  • Nimzihirwa
  • Tumsifu
  • Ombeni
  • Mkazeni
  • Mbazi
  • Sifuni


12. Wabondei
  • Fungo

13. Wahehe
  • Mkwawa
  • Kihwele
  • Mng'ong'o

14. Wajita
  • Masatu
  • Manyama
  • Mafuru
  • Mafwere
  • Mafwimbo
  • Magafu
  • Majigo
  • Majubu

15. Wamakonde
  • Bachikeli
  • Chumuni
  • Chilingi
  • Mutoka
  • Nyumba
  • Chimu

16. Waha


  • Twagiraneza
  • Zunguye
  • Ntuyabaliwe
  • Twakaniki
  • Hungu

17. Wagogo
  • Chipanha
  • Chigwiyemisi
  • Chihonyhi
  • Chiligati
  • Chibehe
  • Chibulunje
  • Chikoti
  • Malecela
Tafadhali naomba tusaidiane kutaja majina mbalimbali ya Ukoo au Makabila kwa kila Kabila na vile vile tuendeleze listi hii hadi yafike makabila 126.

Thanx kwa kunitambua
 
Wasukuma...
  • Mabula
  • Masanja
  • Magembe
  • Masunga
  • Singiri
  • Masele
  • Makula
  • Masanilo
  • Malunde
  • Makani
  • Manoni
  • Mayunga
  • Makunga
  • Makolo
  • Matonange
  • Nkwabi
  • Nkuba
  • Tungu
  • Kuyela
  • Kaswende
 
WAMWERA

Chitanda
magani
kambona
ng'itu
libaba
lilai
nchia
mmuya
membe
mbinga
tamba
chilemba
chikojo
nnunduma
ntilla
millanzi
mpunga
ng'ombo
 
Wasafwa.
Mwalingo, Mwalyepelo, Mponzi,
Mbwete, Mwalyego, Mwanshinga,
Mwandoje,
Mbanga,
Kayetta,
Gonelimali,
Masimbani,
Lyoto,
Mwanahapa,
Mwakyusa,
Mlozi,
Mwashambwa, Magalla, Mwadenya,
endelea tafadhali..
 
Umesahau wameru wanakaa usa river, kikatiti, maji ya chai, sakila, wana majina kama
lowasa, nko, urio, ndosi,maturo, ndelekwa, palangyo, kaaya, aremu, bashishi, mborooh,ayo,
 
Wasafwa.
Mwalingo, Mwalyepelo, Mponzi alikuwa ana banda la video Mwanjelwa, mteremko wa Mwanshinga,
Mbwete Watondoha tulisoma nae Meta, alikuwa hajui kusoma wala kuandika, lakini mtihani wa form four akapata div 4, Mwalyego, Mwanshinga,
Mwandoje alikuwa mama na baba mwenye nyumba yangu Sinde Mbeya,
Mbanga Liliade Paschal Mbanga, alikuwa ni mtoto wa MC maarufu Mbeya, tulisoma naye Sangu,
Kayetta Efrahim kayetta alikuwa mchezaji wa MECCO ,
Gonelimali,
Masimbani,
Lyoto Mwasapili tulisoma nae Meta Mbeya,
Mwanahapa,
Mwakyusa,
Mlozi ni mchawi wa pale Majengo mitaa ya Lejiko,
Mwashambwa Emmanuel Mwashambwa, aliishia shule ya msingi Azimio, alikataa shule kwa ajili ya kupenda chipukizi wa CCM, Magalla, Mwadenya,
endelea tafadhali..
 
naongezea na
1. Kashimba
2. Shemtawa
3. Mkwizu
4. Shahidu
5. Haangwa(na sio hangwa)
6. Shemndoa (na sio shemndolwa)
7. Mndoa
8. Mpiipii(na sio mpilipili)
9. Shemng'ombe
10.Ng'wakiindo
11.Shemdoe
12.Shehemba
13.Jambia
14.Ndona
15.Shenghunde (na sio shenkunde)

ukianza na se badala ya she baadhi ya majina yatageuka kuwa ya kibondei mfano (Shemhando na shemndoa likianza na se badala ya she. Semhando, semndoa yanabadilika na kuwa ya kibondei. na baadhi yakianza na Kwa(mfano Kwamndoa, Kwamhando yanabadilika na kuwa ya kizigua

Ni Shemndolwa masta, co Shemndoa..
 
Wapemba
Shaame
Shamte
Shaweji
Makame
Kombo
Mabruki

Wagosi wa kaya
Shemtoi
Shekiondo
Shelukindo
Shehoza
Shebarua

She..... kwa kifupi we endelea na she she she, hao wote ni wasambaa, hadi SHETANI naye ni ndugu yao.
 
Wapemba
Shaame
Shamte
Shaweji
Makame
Kombo
Mabruki

Wagosi wa kaya
Shemtoi
Shekiondo
Shelukindo
Shehoza
Shebarua

She..... kwa kifupi we endelea na she she she, hao wote ni wasambaa, hadi SHETANI naye ni ndugu yao.

duh hadi shetani???
 
Back
Top Bottom