mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Nimejifunza vizuri sana leo uzi una madini na umetafsiriwa kwa lugha nyepesi.
Sema wafanyabiashara ni watu wajanja sana yaani akiona anakudai halafu umekuwa kichwa ngumu kulipa anakufanyia Factoring(anakuuza kwa mtu mwingine) kisha unaanza kudaiwa tena upya kwa spidi mpya hadi unyooshe mikono uwalipe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema wafanyabiashara ni watu wajanja sana yaani akiona anakudai halafu umekuwa kichwa ngumu kulipa anakufanyia Factoring(anakuuza kwa mtu mwingine) kisha unaanza kudaiwa tena upya kwa spidi mpya hadi unyooshe mikono uwalipe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]