Yajue masuala mbalimbali kuhusu Biashara ya kuuza Juisi ya matunda ya aina mbalimbali

Yajue masuala mbalimbali kuhusu Biashara ya kuuza Juisi ya matunda ya aina mbalimbali

Naitaji kujua namna yakutengeza juic inayoweza kukaa siku 7 bilakualibika au wikitatu yamatunda lkini
Hiyo itakuwa ngumu kwani ukihifadhi kwenye friji (fredge) zaidi sana itakaa wiki bila kuleta hitilafu kubwa ya kuharibika. Na ukiweeka kwenye freezer inakuwa mabarafu kiasi kwamba hauwezi kuitumia papo kwa papo na pia hupoteza ubora kwa haraka. Ni heri ukatunza matunda ukawa unablend pale inahitajika.

Kwanini usitengeneze juice kulingana na mahitaji na hata ikibaki ikae siku 2 isizidi 3!!!
 
Habari Wanajamvi

Naomba ushauri,

Nataka kuwekeza kwenye Biashara ya Juice ..Kama vile juice ya parachichi, tends, pansion, embe, chungwa.

Naomba kujua faida yake na changamoto zake?

Mtaji (pesa,vifaa)?
 
Nina mpango wa kufanya biashara hii ya juice mwanza kuanzia mwezi wa saba nikimaliza Chuo. Location itakua stand ya mabas nyegezi, na pia nitakua nasambaza kwenye canteen za shule zilizopo karibu na nyegezi.

Naomba kama kuna MTU anafaham namna ya kupata zile package na jinsi ya kuweka logos. Haimaanishi naiga watu wengine hapana, nataka kufanya kitu ambacho nahisi katika mazingira kama ya pale stand kitaleta faida.
Mkuu bado upo Nyegezi??
 
dispenser la laki 2 sijui labda mtumbani!!! hiyo anayozungumzia nadhani ni juicer, ni mashine ya kukamulia matunda (siyo kusaga, inakamua), hizo bei rahisi, amazon mpaka elfu 50 unapata, ukijumlisha na nauli inafika kwa kama laki na 20 hivi!
View attachment 166903
Duh! Hata me nilishtuka mkuu nikataka kulaumu wanasiasa kupandisha vitu bei toka laki 2 had milion 😁
 
Back
Top Bottom