Au tuliundie kikosi kazi?Hili nalo mkalitazame kiundani.
Hapana tusivunje madirisha acha wafie ndani😅😅Au tuliundie kikosi kazi?
Ukubwa wa timu unatokana na rank au trophies?? Kweli umbumbumbu ni mzigo mzigo sanaUtopolo nao wanajiita timu kubwa Africa, wakati wapo nafasi ya 75 Africa. Rubbish [emoji706]
Rank zinapatikanaje? Tuanzie hapoUkubwa wa timu unatokana na rank au trophies?? Kweli umbumbumbu ni mzigo mzigo sana