Yakobo

Kiluuj

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
692
Reaction score
277
Mwalimu: Leo kila mmoja wenu ataniambia kile ye hufanya akienda nyumbani
Mwanafunzi 1: Huenda kununua bangi kwa Yakobo
Mwanafunzi 2: Mi huendaga kununua sigara kwa Yakobo
Mwanafunzi 3: Yakobo anauza Cocaine hivyo mie huenda kwao kununua.
Mwanafunzi 4: Mi hutulia na kufanya mazoezi ya shule
Mwalimu: (kwa Mwanafunzi wa 4)Wewe ni mfano mzuri, hongera. Kuanzia leo wewe ndio kiranja wa darasa.Unaitwaje vile?
Mwanafunzi 4: Yakobo
Mwalimu: Shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…