Yale majengo Zanzibar mmeshindwa hata kupaka rangi mnataka Urais

Yale majengo Zanzibar mmeshindwa hata kupaka rangi mnataka Urais

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kama kuna mistake alifanya CCM ni kurudisha familia ya Karume ikulu

Siongei kwa ubaya, mkuu alipopewa uraisi angeweka na kuongeza mazuri mzee aliofanya.

Jana naona mwingine anataka tena ikulu; aisee baba mwana na mwana tena, labda nisiwe Tanzania.

MMeshindwa kupaka hata rangi yale majengo mzee aliwajengea wananchi; kaka kashindwa, mnataka kufanya ikulu ya familia sio

WaLaahi CCM mkikosea Zanzibar watawapa wapinzani.

Mara mia tumpe ikulu mtoto wa Mwinyi naye aturekebishie hiko kisiwa sijui shida nini kwakweli.

Hussein Mwinyi kwanza.

Wengine baadae
 
Ni vyema wakati mwengine ukiandika upate mtu wa kupitia na kuhariri ulichoandika. Mathalan, ungelimtumia mhariri angelikushauri kuandika kwa herufi ndogo na angelikuelekeza namna baadhi ya maneno yanavyondikwa kwa kiswahili.
 
Kama ni zile majumba ya kihistoria labda hawapaki rangi ili kuweka kumbukumbu jinsi hali ilivyokuwa mwanzoni
 
Ni vyema wakati mwengine ukiandika upate mtu wa kupitia na kuhariri ulichoandika. Mathalan, ungelimtumia mhariri angelikushauri kuandika kwa herufi ndogo na angelikuelekeza namna baadhi ya maneno yanavyondikwa kwa kiswahili.
Huyu pdidy sisi tuliishamzoea.

Ndio identity yake humi jf.usipokuwa makini unatupa simu chini kwa hasira.
 
Ni vyema wakati mwengine ukiandika upate mtu wa kupitia na kuhariri ulichoandika. Mathalan, ungelimtumia mhariri angelikushauri kuandika kwa herufi ndogo na angelikuelekeza namna baadhi ya maneno yanavyondikwa kwa kiswahili.
Huoomdaaaaa ukowapilabdaala. Mkeo n secretary
 
Huyu pdidy sisi tuliishamzoea.

Ndio identity yake humi jf.usipokuwa makini unatupa simu chini kwa hasira.
Unakojoaaaa MAANA ukionaaa simuilivyoharibika Kama. Hujanya unakojoooooaaa
 
Kama kuna mistake alifanya CCM ni kurudisha familia ya Karume ikulu

Siongei kwa ubaya, mkuu alipopewa uraisi angeweka na kuongeza mazuri mzee aliofanya.

Jana naona mwingine anataka tena ikulu; aisee baba mwana na mwana tena, labda nisiwe Tanzania.

MMeshindwa kupaka hata rangi yale majengo mzee aliwajengea wananchi; kaka kashindwa, mnataka kufanya ikulu ya familia sio

WaLaahi CCM mkikosea Zanzibar watawapa wapinzani.

Mara mia tumpe ikulu mtoto wa Mwinyi naye aturekebishie hiko kisiwa sijui shida nini kwakweli.

Hussein Mwinyi kwanza.

Wengine baadae
Kwa nini Wazanzibari mnapenda kutawaliwa na watoto wa viongozi wenu wa mapinduzi?
 
Amesema maamuzi yake sio jambo jipya duniani kwasababu hata US ambao ndio wenye demokrasia yao Bush alikuwa rais na mtoto wake pia.
 
Ipo hivi

Sio kwenye siasa sisi wachaga tinaamini kabisa mtoto bora anacopy mema toka kwa wazazi wake

So linapofika jambo la kitaifa na kuhusu uhai wa wananchi lazima tujali mapema kabisa baba alietenda jema basi mtoto lazima atende yale baba aliotenda na zaidi

Hata mwanangu niliemzaa ujanani ukimtajia mwinyi anakupa sifa zakr

Kwann tusimpe hussein anatosha kabisa mda muafaka
 
Kama kuna mistake alifanya CCM ni kurudisha familia ya Karume ikulu

Siongei kwa ubaya, mkuu alipopewa uraisi angeweka na kuongeza mazuri mzee aliofanya.

Jana naona mwingine anataka tena ikulu; aisee baba mwana na mwana tena, labda nisiwe Tanzania.

MMeshindwa kupaka hata rangi yale majengo mzee aliwajengea wananchi; kaka kashindwa, mnataka kufanya ikulu ya familia sio

WaLaahi CCM mkikosea Zanzibar watawapa wapinzani.

Mara mia tumpe ikulu mtoto wa Mwinyi naye aturekebishie hiko kisiwa sijui shida nini kwakweli.

Hussein Mwinyi kwanza.

Wengine baadae
Chama chako hata hizo kuta hawana .anza na chama chako cha kupanga
 
Ni vyema wakati mwengine ukiandika upate mtu wa kupitia na kuhariri ulichoandika. Mathalan, ungelimtumia mhariri angelikushauri kuandika kwa herufi ndogo na angelikuelekeza namna baadhi ya maneno yanavyondikwa kwa kiswahili.
Bang za bila kula hizo
 
Mwandiko mbaya mpaka unatia kichefu chefu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Back
Top Bottom