Huyu pdidy sisi tuliishamzoea.Ni vyema wakati mwengine ukiandika upate mtu wa kupitia na kuhariri ulichoandika. Mathalan, ungelimtumia mhariri angelikushauri kuandika kwa herufi ndogo na angelikuelekeza namna baadhi ya maneno yanavyondikwa kwa kiswahili.
Huoomdaaaaa ukowapilabdaala. Mkeo n secretaryNi vyema wakati mwengine ukiandika upate mtu wa kupitia na kuhariri ulichoandika. Mathalan, ungelimtumia mhariri angelikushauri kuandika kwa herufi ndogo na angelikuelekeza namna baadhi ya maneno yanavyondikwa kwa kiswahili.
Kwa nini Wazanzibari mnapenda kutawaliwa na watoto wa viongozi wenu wa mapinduzi?Kama kuna mistake alifanya CCM ni kurudisha familia ya Karume ikulu
Siongei kwa ubaya, mkuu alipopewa uraisi angeweka na kuongeza mazuri mzee aliofanya.
Jana naona mwingine anataka tena ikulu; aisee baba mwana na mwana tena, labda nisiwe Tanzania.
MMeshindwa kupaka hata rangi yale majengo mzee aliwajengea wananchi; kaka kashindwa, mnataka kufanya ikulu ya familia sio
WaLaahi CCM mkikosea Zanzibar watawapa wapinzani.
Mara mia tumpe ikulu mtoto wa Mwinyi naye aturekebishie hiko kisiwa sijui shida nini kwakweli.
Hussein Mwinyi kwanza.
Wengine baadae
Unavyoropoka unadhalilisha sana umri wakoUnakojoaaaa MAANA ukionaaa simuilivyoharibika Kama. Hujanya unakojoooooaaa
Uko vizuri sanaKAMA. UKOJOI SAWA KAMA UNAKOJOA KAMA. MM BASI HUNAMAANA
AGE JUST A NO
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hapo mbona utazima taa mwenyewee.Uko vizuri sana
Chama chako hata hizo kuta hawana .anza na chama chako cha kupangaKama kuna mistake alifanya CCM ni kurudisha familia ya Karume ikulu
Siongei kwa ubaya, mkuu alipopewa uraisi angeweka na kuongeza mazuri mzee aliofanya.
Jana naona mwingine anataka tena ikulu; aisee baba mwana na mwana tena, labda nisiwe Tanzania.
MMeshindwa kupaka hata rangi yale majengo mzee aliwajengea wananchi; kaka kashindwa, mnataka kufanya ikulu ya familia sio
WaLaahi CCM mkikosea Zanzibar watawapa wapinzani.
Mara mia tumpe ikulu mtoto wa Mwinyi naye aturekebishie hiko kisiwa sijui shida nini kwakweli.
Hussein Mwinyi kwanza.
Wengine baadae
Bang za bila kula hizoNi vyema wakati mwengine ukiandika upate mtu wa kupitia na kuhariri ulichoandika. Mathalan, ungelimtumia mhariri angelikushauri kuandika kwa herufi ndogo na angelikuelekeza namna baadhi ya maneno yanavyondikwa kwa kiswahili.
Kwa hiyo baba zenu ndiyo walipewa akili ya kutawala Wazanzibari milele?BABAZENU WALIKOSA HIZI NAFASI