Kwa wale ambao wanapenda miziki ya slow aka rnb song Basi usiache kusikiliza this song na kijana wetu ameutendea haki wimbo ambayo ameshirikishwa na mkali mmoja kutoka ufaransa.
Mstari wa diamond
Upendo upimwi kwa maneno Wala,upimwa kwa matendo wacha waseme watalala hawawezi kuivunja pendo.
Upendo Ni kidonda na wewe ndio dawa yangu
Ngoma hii imetoka Jana inaitwa penzi diamond ameimba rnb humo.yaani huyu kijana kila aina ya miziki anaweza kufanya.
Mstari wa diamond
Upendo upimwi kwa maneno Wala,upimwa kwa matendo wacha waseme watalala hawawezi kuivunja pendo.
Upendo Ni kidonda na wewe ndio dawa yangu
Ngoma hii imetoka Jana inaitwa penzi diamond ameimba rnb humo.yaani huyu kijana kila aina ya miziki anaweza kufanya.