Ikawaje sasa? handsome alikaa kiti kimoja na wewe? alitupia neno? au ilikua ni wewe tu ndie ulijigonga lakini jamaa wala hakua na mpango na wewe?Focus yangu ni kuwa presentable mbele ya handsome boy, ule utamu ninaukumbuka mpaka leo, bado ninajutia mihogo yangu.
Mie nilishawahi kupenda mtu on the first sight hadi nikashindwa kula.... nilikuwa kwenye mgahawa nimeagizia chakula ile kimefika nanyanyua una na kisu akaingia mtasha mmoja..... sikuweza kula tena ...nililipa bili nikaondoka baada ya mtasha kuondoka
Kumbe usista duu umeuanza kitamboeeeFocus yangu ni kuwa presentable mbele ya handsome boy, ule utamu ninaukumbuka mpaka leo, bado ninajutia mihogo yangu.
Chemical changes zilianza pale alipoingia kwenye daladala, kibaya zaidi miaka hiyo simu za kumkononi ni luxury.Ikawaje sasa? handsome alikaa kiti kimoja na wewe? alitupia neno? au ilikua ni wewe tu ndie ulijigonga lakini jamaa wala hakua na mpango na wewe?
Mie dah! hiyo mihogo tu ndio inaniuma roho, utasema ulikua umeninunulia mie vile.
Jitahidi sasa umuonjeshe mlokole wakoMbona mpaka leo.
Huyo handsome boy ukonaye mpaka sasa hivi?Chemical changes zilianza pale alipoingia kwenye daladala, kibaya zaidi miaka hiyo simu za kumkononi ni luxury.
Kweli mapezi hisia. Unaweza kumpenda sana mwenzio lakini yy hana habari na ww.Do hata sijui yuko wapi kwakeli.
naomba nikuoe tafadhariMbona mpaka leo.
si ulitaka akutongoze? uliwish akutongoze au akunoticeWala kaka wa watu hakujua kama niko mle, hisia zangu tu, pale ndio nilijua ninampenda.
Ukitongozewa wapi ndio unakubali haraka haraka?mmmh me sipendi kutongozwa kwenye daladala
ningekula tu.
AsanteYako ni kali.