Yaliojiri VPL 12.04.2015, Yanga vs Mbeya City

Full time: Yanga 3 - 1 Mbeya City. Asilia 90 Yanga bingwa
 
Yani hawa mcc wanapiga mpira mkubwa sana leo.Tatizo ni hiyo minoti ya muhindi waliyopewa jana jioni ili wasiifunge Yanga,so ngoma itaisha kwa droo,ikitokea tofauti 'nibandueni'

Nshakunywea mkuyati nyanyua mkia kabisa T.......... Libaki wazi uje nikubandue.
 
Namuona Katavi tu anajikongoja hapa peke yake wenzie akina Masuke sijui wamejichimbia wapi?
nifah kwa hiki kiwango cha yanga hata ningekuwa mimi mikia ningekimbia jukwaa
Unajua tuache utani yanga inacheza mpira wa kuvutia sana, sijui vijana wamelisha nini waleeee!!
 
Last edited by a moderator:
Canavaro bado anazidi kujiwekea record ya pekee duniani. Ni beki pekee mwenye magoli mengi ya kufunga
Nimetafakari hii rekodi ya Canavaro, nikaona si vizuri kuuvumilia upotoshaji. Yaani duniani Nadir Haroub huyu huyu anashikilia rekodi ya kuwa beki mwenye mabao mengi zaidi duniani? Au ulimaanisha Canavaro wa Italia? Hebu pitia list hii ya mabeki tujiridhishe kama kweli Canavaro wa Zanzibar amefunga mabao zaidi ya 57 yaliyofungwa na Marco Materazzi au magoli 68 ya Tulio Tanaka wa Japan:

20 Top Goal-Scoring Defenders in World Football | Bleacher Report
 
Mama weeeee! Matola njoo uone maajabu huku!
Kweli wanaume wameisha jamani!

Kwanza umenibani mpaka mpira umeisha mwenzio nilijisahau.

Akyanani wacha nikanunuwe KY kabisa huyu mtoto ana wadudu wanamnyevu, hakuna mwanaume rijali anayeweza kubet kutoa kijambio.
 
Last edited by a moderator:
Sisi Mikia Fc huwa tunakomaa na Mechi na Yanga, Mtani Jembe na Mapinduzi Cup kidoooogo.
Atuna jipya
Haaaaaa.
Yani nimecheeeeeeeka lol.
Maana umejifunika kwa kisoda lakini imejulikana wewe ni JANGWANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…