Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Huyo kakimbia kabisa.
Akimbie wapi wakati huyo DAKA MTUMBA namuona online?
Aisee leo nimestaajabu sana.
Nshakunywea mkuyati nyanyua mkia kabisa T.......... Libaki wazi uje nikubandue.
Haaaaaa.
Yani nimecheeeeeeeka lol.
Maana umejifunika kwa kisoda lakini imejulikana wewe ni JANGWANI.
Kuna haja ya Yanga kujitoa Mapinduzi Cup na Mtani Jembe ili tuwe na furaha na ubingwa wetu wa VPL. Nafurahia ubingwa lakini kila nikiifikiria Simba, nakumbuka 5-0Sisi Mikia Fc huwa tunakomaa na Mechi na Yanga, Mtani Jembe na Mapinduzi Cup kidoooogo.
Atuna jipya
Kwanza umenibani mpaka mpira umeisha mwenzio nilijisahau.
Akyanani wacha nikanunuwe KY kabisa huyu mtoto ana wadudu wanamnyevu, hakuna mwanaume rijali anayeweza kubet kutoa kijambio.
Tupo tunawakimbiza kimya kimya japo inaonekana mko spidi lakini hatukati tamaa tutawapata tu hata kama ni mwakani.
Yanga chapa Wasafwa hao warudi Mbeya kulima njegere na ndofan'ya
siji kushabikia timu za ccm . i will never simba na yanga ni ccm tu
Siyo dawa labda asirudi tena hapa jukwaa hili au anirudishie pesa yangu niliyonunulia KY Jerry.
Atadaka sana mitumba mwaka huu. Yanga ni mbele kwa mbele tu.
Uzi bila mikia siyo uzi.
Asante Yanga kwa ushindi huu wa leo.
Hahahaaa,nyie mmeshakata tamaa bwana.Hadi mwakani si mambo mengine?