Yani hawa mcc wanapiga mpira mkubwa sana leo.Tatizo ni hiyo minoti ya muhindi waliyopewa jana jioni ili wasiifunge Yanga,so ngoma itaisha kwa droo,ikitokea tofauti 'nibandueni'
Hahahaaa yamekuwa hayo tena nyumbani ni nyumbani mcc watashinda tu
Hahahaaa haya nimegonga like DemiGod
Sidhani kama hunijui!
-Hii Yanga inaweza chapa hata Man U Old Trafford.
Ahaaaaaa.
Kwani mikia huwa mnakomaa na nn kwenye ligi?
Ebu funguka mkuu!!
Nimesha like
Yanga chapa Wasafwa hao warudi Mbeya kulima njegere na ndofan'ya
Mbona sijaona? Wewe sio Yanga nina wasiwasi!
aisee kukutukana nahofia ban ila shetani awe pamoja nawe mkuu
Wapi wamejaa wapemba hao wa kula tambi na mikate watawaweza majituuu mcc juuuuu
aisee kukutukana nahofia ban ila shetani awe pamoja nawe mkuu