Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Yani hawa mcc wanapiga mpira mkubwa sana leo.Tatizo ni hiyo minoti ya muhindi waliyopewa jana jioni ili wasiifunge Yanga,so ngoma itaisha kwa droo,ikitokea tofauti 'nibandueni'
Mama weeeee! Matola njoo uone maajabu huku!
Kweli wanaume wameisha jamani!
Last edited by a moderator: